Kuweka ndani mtungi wa gas ya kupikia, inakuwaje?

Hapo huyu jamaa kasema ukweli mtupu kila kitu kikiwa too much itatokea hatari sasa wewe unayesema ushafungulia gas then ukawasha kiberirti una maana gani hapo ni sawa na zile hadithi za zamani jamaa anakata tawi la mti ikiwa amelikalia.
 
Ni hatari na makosa kuweka mtungi wa gas ya kupiki ndani ila serikali yetu haina sheria yoyote inayohusu matumizi ya gas na hiyo ni kwasababu kulikuwa na matumizi madogo sana ya gas siku za nyuma na hakujawahi kujitokeza hatari kubwa ya maafa kutokana na gas zinazotumika majumbani kutokana na kuvuja au kupasuka kwa mtungi. Ni vizuri mtungi wa gas ukawekwa nje ya nyumba kwa kujengewa kichumba chenye matundu mengi au au nondo na pipe zake zikatengenezewa kava ya ulinzi pia mpaka kwenye muunganiko na jiko. Gas inamadhara sio ya kuwasha moto tu bali pia haifai kuvutwa na mnyama wa aina yoyote endapo itatokea kuvuja.

Hatari Ipi? Mkuu hata jiko la mafuta ya Taa ni noma, likiripuka huwa ni balaa sana, Je ile Mitungi midogo yenye Jiko Hapo hapo?
Na si kwa Tanzania pekee hata wazungu wanatumia sana hii mitungi midogo yenye jiko hapohapo na wanatumia ndani, kukubwa ni kuangalia valuvu zisivuje, Hata jiko la mafuta ya Taa ni noma sana likiripuka,

Na kingine zamani Mitungi iliyo kuwa inatumika ilikuwa na matatizo ya kiufundi na ishapigwa marufuku, ilikuwa ni ya BP, hii ya siku hizi ya Lake oil au Manjis haina shida kabisa, na hata Gesi ya sasa hivi na ya zamani kuna Tofauti ulizeni watalamu wa Gesi watawaambia kwamba kuna Tofauti kati ya Gesi ya siku hizi na ya zamani

Na zamani kilicho kuwa kinasababisha majanga ya moto sana ni hiyo Aina ya Gesi na hata mitungi, ambayo mingi ilikuwa ni ya BP na ilikuwa na matatizo ya kiufundi kwenye mdomo wa kutolea Gesi, Gesi ya siku hizi inaweza kuvuja ndani na ukawasha silete mazara yoyote, ila zamani mtungi ulikuwa na uwezo wa kutoka na paa la nyumba,

 
Chance za mtungi kuleta madhara yoyote ukiwa ndani ni next to zero. Chance za kuleak hazitegemei mtungi uko nje au ndani, ili mradi jikoni kwako kuwe na ventilation ya kutosha (dirisha) sio rahisi gesi ikasababisha madhara yoyote makubwa. Pia gesi inawekwa harufu makusudi ili kukiwa na leak unaweza kujua mara moja.

Mkuu, unazungumza kama vile mazingira unayoishi wewe na watanzania wote wako hivyo eti unazungumzia jiko lenye ventilation, naomba utambue hata huku uswahili siku hizi tunatumia gesi, mtu amepanga chumba kimoja (hapo ndio jiko, sebule na chumba cha kulala) na kuna mtungi wa gesi ndani na nyumba anayoishi ina wapangaji wengine ambao nao ndani kuna mitungi ya gesi. Pata picha halisi, bila kutolewa elimu ya kutosha na kuwekwa sheria za usimamizi...........nini unategemea baadae.
 
Mkuu, unazungumza kama vile mazingira unayoishi wewe na watanzania wote wako hivyo eti unazungumzia jiko lenye ventilation, naomba utambue hata huku uswahili siku hizi tunatumia gesi, mtu amepanga chumba kimoja (hapo ndio jiko, sebule na chumba cha kulala) na kuna mtungi wa gesi ndani na nyumba anayoishi ina wapangaji wengine ambao nao ndani kuna mitungi ya gesi. Pata picha halisi, bila kutolewa elimu ya kutosha na kuwekwa sheria za usimamizi...........nini unategemea baadae.

HAKUNA

hebu niambie .... sasa hapo makosa ni ya nani? kama utaweka jiko la gesi kwenye chumba kisicho na cross ventillation unategemea nini ..... kila chombo kina masharti yake ya kutumia .... sasa naona una-force utumiaji wa gesi pasipo kufuata masharti especially ya mazingira muhimu ya kutumia .... kwa nini tunapo nunua gesi hatuulizi namna na mahali pa kutumia ... sissue hapa si mahali unapotakiwa kuiweka bali ni jinsi na tahadhari unazotakiwa kuchukua katika utumiaji wa gesi ..... kiukweli gesi za sasa zimetengenezwa in such a way that cama hakuna a steady continuous flow hazilipuki and they are so volatile ....

je unajua unaweza ukaweka mtungi nje lakini pipe system ukashindwa kui-handle kwa ndani na ikafanya leakage kuliko hata mtungi ungekuwa ndani? ambapo mtungi ukiwa ndani unapunguza connections na joints nyingi ...ambazo hivi ndivyo vyanzo vya leakage

nadhani cha kuzingatia hapa ni matumizi bora ya majiko ya gesi na si wapi mtungi uwekwe
 
Kwanza kabisa ebu twangalie gas tunayo tumia niya aina gani.
Gas tunayo tumia majumbani ni Butane Gas. Mitungi imetengenezwa kitaalamu for butane use na imeandikwa kwa kila mtungi.
In order Butane to burn it has to react with oxygen. Kwa wanaotumia majiko ya gas, ukitizama kwenye jiko lako chini kuna shimo la kupitisha hewa (oxygen) closer to the switch kwa ndani. By the time una switch on gas iliochanganyika na oxygen inakutana na sparks hapo ndio moto unatokea. Lakini ukifungulia Gas hadi mwisho utaona kwamba moto with a yellow flame ndio unawaka this means that Butane gas is much greater than oxygen lakini ukipunguza (as per the instructions given on the switch) utapata a blue flame this means that equation is in equilibrium i.e 2C4H10 + 13O2 ----> 8CO2 + 10H2O ndio maana unaambiwa anaetumia gas kwa kupikia ni miongoni mwamarafiki wa mazingira bcoz Butane and oxygen produces carbondioxide which is used in respiration by plants. This is a combustion reaction because carbon dioxide and water are products.

Madhara yanaweza kutokea kama utafunga nyumba yako sehemu zote zinazo pitisha hewa ili endapo utafungulia gas ukaiacha kwa muda ikisambaa nyumba nzima, then by the time unakapo washa moto hapo ndio nyumba nzima itawaka. This is due to the fact that the amount of Butane will have been equal to oxygen. Ndio maana unashauriwa kutumia automatic regulator (amabyo inadetect kuvuja kwa gas) or weka mtungi wako sehemu iliopo wazi. Kwa waoweka mitungi nje ya nyumba zao this means that madhara ya kulipukiwa ningumu kutokea. Ndio maana kila sehemu gas inapo uzwa lazima kuna uwazi wa kutosha. Remember Butane is a component of crude oil.
 
Kwanza kabisa ebu twangalie gas tunayo tumia niya aina gani.
Gas tunayo tumia majumbani ni Butane Gas. Mitungi imetengenezwa kitaalamu for butane use na imeandikwa kwa kila mtungi.
In order Butane to burn it has to react with oxygen. Kwa wanaotumia majiko ya gas, ukitizama kwenye jiko lako chini kuna shimo la kupitisha hewa (oxygen) closer to the switch kwa ndani. By the time una switch on gas iliochanganyika na oxygen inakutana na sparks hapo ndio moto unatokea. Lakini ukifungulia Gas hadi mwisho utaona kwamba moto with a yellow flame ndio unawaka this means that Butane gas is much greater than oxygen lakini ukipunguza (as per the instructions given on the switch) utapata a blue flame this means that equation is in equilibrium i.e 2C4H10 + 13O2 ----> 8CO2 + 10H2O ndio maana unaambiwa anaetumia gas kwa kupikia ni miongoni mwamarafiki wa mazingira bcoz Butane and oxygen produces carbondioxide which is used in respiration by plants. This is a combustion reaction because carbon dioxide and water are products.

Madhara yanaweza kutokea kama utafunga nyumba yako sehemu zote zinazo pitisha hewa ili endapo utafungulia gas ukaiacha kwa muda ikisambaa nyumba nzima, then by the time unakapo washa moto hapo ndio nyumba nzima itawaka. This is due to the fact that the amount of Butane will have been equal to oxygen. Ndio maana unashauriwa kutumia automatic regulator (amabyo inadetect kuvuja kwa gas) or weka mtungi wako sehemu iliopo wazi. Kwa waoweka mitungi nje ya nyumba zao this means that madhara ya kulipukiwa ningumu kutokea. Ndio maana kila sehemu gas inapo uzwa lazima kuna uwazi wa kutosha. Remember Butane is a component of crude oil.

Nashukuru sana Mkuu Prime Dynamic; hakika JF ni kila kitu, maana wachangiaji wengine walikuwa wanasema kuna gesi ya kisasa na ya zamani, kwamba ya kisasa hailipuki. Nakushukuru tena kwa maelezo ya kitaalamu, kwa kweli kuna nyumba nilikwenda na kuna wapangaji wengi, nilshtuka sana kuona matumizi ya gesi kwenye hiyo nyumba, ukweli ni kwamba matumizi ya gesi yameongezeka sana hata huku uswazi watu wanatumia gesi, hivyo basi serikali na watumiaji inabidi kuchukua tahadhari kabla ya hatari.
 
Gesi yakutumia nyumbani inawekwa harufu kama sehemu ya tahadhali, ikivuja hatua za kiusalama zichukuliwe. Mtungi mara zote unatakiwa kuwa nje sehemu inayofikika kwa urahisi.
Haya uliyonena yanatokana ta taaluma juu ya gesi au nadharia ya jumla, naomba ufafanuzi kwa anayefahamu.

KOMANDOO - Ulishawahi kufanya majaribio ya kufungulia gesi kwa muda halafu ukawasha kiberiti? Maana naona kama unazungumzia mambo ya kikomandoo zaidi kuliko uhalisia wenyewe.
 
Kwanza kabisa ebu twangalie gas tunayo tumia niya aina gani.
Gas tunayo tumia majumbani ni Butane Gas. Mitungi imetengenezwa kitaalamu for butane use na imeandikwa kwa kila mtungi.
In order Butane to burn it has to react with oxygen. Kwa wanaotumia majiko ya gas, ukitizama kwenye jiko lako chini kuna shimo la kupitisha hewa (oxygen) closer to the switch kwa ndani. By the time una switch on gas iliochanganyika na oxygen inakutana na sparks hapo ndio moto unatokea. Lakini ukifungulia Gas hadi mwisho utaona kwamba moto with a yellow flame ndio unawaka this means that Butane gas is much greater than oxygen lakini ukipunguza (as per the instructions given on the switch) utapata a blue flame this means that equation is in equilibrium i.e 2C4H10 + 13O2 ----> 8CO2 + 10H2O ndio maana unaambiwa anaetumia gas kwa kupikia ni miongoni mwamarafiki wa mazingira bcoz Butane and oxygen produces carbondioxide which is used in respiration by plants. This is a combustion reaction because carbon dioxide and water are products.

Madhara yanaweza kutokea kama utafunga nyumba yako sehemu zote zinazo pitisha hewa ili endapo utafungulia gas ukaiacha kwa muda ikisambaa nyumba nzima, then by the time unakapo washa moto hapo ndio nyumba nzima itawaka. This is due to the fact that the amount of Butane will have been equal to oxygen. Ndio maana unashauriwa kutumia automatic regulator (amabyo inadetect kuvuja kwa gas) or weka mtungi wako sehemu iliopo wazi. Kwa waoweka mitungi nje ya nyumba zao this means that madhara ya kulipukiwa ningumu kutokea. Ndio maana kila sehemu gas inapo uzwa lazima kuna uwazi wa kutosha. Remember Butane is a component of crude oil.

Ahsante kwa Elimu
 
Prime Dynamics Hicho kifaa ulichokitaja (automatic regulator) kinapatikana wapi na kina muonekano upi? na pia kinatumikaje .....maana umesema…(Ndio maana unashauriwa kutumia automatic regulator (amabyo inadetect kuvuja kwa gas) or weka mtungi wako sehemu iliopo wazi.)
 
Last edited by a moderator:
Prime Dynamics Hicho kifaa ulichokitaja (automatic regulator) kinapatikana wapi na kina muonekano upi? na pia kinatumikaje .....maana umesema…(Ndio maana unashauriwa kutumia automatic regulator (amabyo inadetect kuvuja kwa gas) or weka mtungi wako sehemu iliopo wazi.)

Kama upo Dar nenda pale maeneo ya Ubungo riverside karibu na masikiti, kuna duka la gas hayo maeneo. Wanazo regulators nzuri sana. Wanazo automatic regulators zenye geji tena wanakupa guarantee ya 2yrs. Nilipoteza namba zao. Ila wapo kila siku.
 
Gesi ya siku hizi sio kama ya zamani, utashangaa unaweza fungua gesi kabula hujawasha na ukawasha kusiwe na tatizo, ni kama petrol ya zamani na ya siku hizi,

Kama kuweka ndani ni makosa vipi ILE MITUNGI YENYE JIKO HAPO HAPO? WATU WAWE WANAPIKIA NJE?

Acha kuongopa mkuu, pamoja na kuwa gas na petrol zimekuwa user friendly bado ni hatari sana. Kuweka mtungi ndani ni hatari sana, ni vile nchi yetu haina Safety Rules, nchi nyingine ni kosa kubwa na unaeza fungwa kwa sababu ya kuvunja HS rules. Tatizo ni vifaa duni (copper wire ya kufanya piping all over toka chumba cha gasi mpk jikoni) na wizi pia vinafanya iwe ngumu.

Mitungu yenye jiko huwa ni maalumu kwa outdoor kama camping na sio kupikia ndani
 
Mimi sipikii tena hiyo gesi ,nani kakwambia ? mungu mkubwa sana ,huenda ningeshakufa au ningeunguza nyumba ya watu.Mwaka jana nililipua tanki acha moto uwake hadi juu bahati nzuri tu jirani alikua na fire extinguisher kanisaidia ndani ya dakika 2 ,sitaki hata kuisikia hiyo gesi ,natumia mkaa na mafuta ya taa ,baadae ntatumia umeme nikijenga nyumba yangu
 
Wana Jamii, matumizi ya kupikia kwa gesi yamezidi kuongezeka; nimekuwa nikiona watu wengi wanaweka mitungi ya gas ndani, vipi hakuna hatari yeyote?, je hakuna sheria iliyoweka kwa watumiaji wa gas majumbani kwa ajili ya usalama?. Nimekuwa nikiona nchi nyingine mitungi ya gas ikijengewa nje.
Mimi sipikii tena hiyo gesi ,nani kakwambia ? mungu mkubwa sana ,huenda ningeshakufa au ningeunguza nyumba ya watu.Mwaka jana nililipua tanki acha moto uwake hadi juu bahati nzuri tu jirani alikua na fire extinguisher kanisaidia ndani ya dakika 2 ,sitaki hata kuisikia hiyo gesi ,natumia mkaa na mafuta ya taa ,baadae ntatumia umeme nikijenga nyumba yangu,ila kwa mnaotumia msiweke ndani tafadhari na hao watoto wasiguse kabisaa, au ukiweka ndani weka na fire extinguisher pembeni
 
Asante kwa kutukumbusha. Ni makosa makubwa kuweka mtungi wa gas ndani. We are not conscious of fire safety rules
kwa mtazamo wangu binafsi na kwa kutumia elimu kidogo ya kiufundi
Nafikiri jiko la gesi likiwa na hitilafu mahala pekee unatakiwa uzime ili kuzuia nyumba isiungue ni ile switch ya kwenye mtungi. Hi ni kwa sababu mtungi umetengenezwa mathubuti na valve yake ni imara sana.
Sasa sijui kama umtungi uko nje ya fenzi, sijui jiko likipata hitilafu hadi ukafungue mlango utoke sijui uzunguke uwani moto utakuwa umefika hatua gani?
Binafsi sina tatizo na mtungi kukaa ndani ila tu, ukae sehemu salama umbaki wa angalau meta na nusu hivi kutoka sehemu ya kupikia (ili usipate joto
 
Back
Top Bottom