Recent content by Dr wa pelemende

  1. D

    Kwanini nina mashaka na Chanjo ya COVID 19

    Katika kukabiliana na UVIKO-19, ni sawa kuanza kuyachanja haya makundi yaliyopendekezwa na kamati ya Profesa Aboud? Simiyu, Tanzania Mheshimiwa rais Samia alipoingia madarakani aliunda kamati ya wataalamu wa hapa nchini ili kufuatilia mwenendo wa mlipuko wa UVIKO-19 na kumshauri njia za...
  2. D

    GE2020 Askofu Gwajima na ahadi ya kutupeleka USA

    Kwa utopolo alioufanya Mdee, Kawe kwa miaka 10, wacha tuende na Gwajima. Itoshe kusema katika aliyosema alichokua anakosa ili afanikiwe kuyatekeleza ni nafasi ya Ubunge. Nafikiri tukimpatia dhamana angalau kwa miaka 5 ndio tuanze kuhoji kwa nini hajafanikiwa. Tumpe Gwajima Kawe
  3. D

    Misa ya Mkapa: Nimeona tofauti kubwa kati ya maaskofu wa Katoliki na wale wa makanisa kama la Gwajima!

    Hakuna logic hapo, tofauti nnayoiona mimi ni mafarisayo wenye kufuata sheria na kawaida inayoonekana kwa macho wakati watu kama Gwajima ni mfano wa Petro yani watu ambao media inatumika kuwachafua na kuwafanya waonekane si kitu, Hata Kipindi cha Yesu, Mafarisayo walionekana ni watu wa maana na...
  4. D

    Nani yupo nyuma ya BBC Swahili?

    Nimekuelewa vizuri sana mwalimu, watu wengi hawajui kwa nini Vyombo vya habari kama BBC huwa viko makini sana kuripoti na kuandika kuhusu nchi nyingine kuliko nchi zao. Ukweli ni kwamba njia pekee ya kuwagawa watu ni kuamua wampende nani na wamchukie nani. Ili kupenyeza maslahi yao. Na vyombo...
  5. D

    GE2020 Askofu Gwajima ameonesha njia, wanaompinga hawana hoja

    Askofu ni mtu wa misimamo sana. Tunahitaji viongozi wa namna yake ili kuikomboa nchi yetu. Nafikiri watu wa kawe wamepata bahati, wenye ufahamu mzuri wanaelewa hii nchi ilikotoka na namna ambayo Askofu Gwajima amekuwa mstari wa mbele kunyosha palipopindishwa. Huu ni wakati wa yeye kuwepo katika...
Back
Top Bottom