Recent content by Dr.viruz

  1. D

    Nimekutana na changamoto hii nikifuatilia passport, naombeni ushauri

    Nko kwenye mchakato wa kufuatilia passport ila haya maelezo yananipa wasi wasi Jina la babu kwenye cheti changu cha kuzaliwa Lina utofauti kidogo (herufi zimekosewa) na jina la baba kwenye cheti cha kuzaliwa cha baba yangu Note; jina la babu lililopo kwenye cheti changu Hii haitonipa shida...
  2. D

    Kwa mnaouliza ilipo Wavuvi Kempu

    Hapo hapauzwi kvant, konyagi, hanson’s choice na matindikali mengine ya kitanzania Hawataki ulewe kirahisi ili utumie hela nyingi😂😂😂
  3. D

    Kwa mnaouliza ilipo Wavuvi Kempu

    Hennesy Xo 890000 taslimu
  4. D

    Nesi akiri alivyomhanithi mumewe na kumuua polepole kwa dawa ya macho

    https://www.cbsnews.com/news/lana-steve-clayton-eye-drop-poison-suffer-48-hours/ Story nzuri ya kutunga ila 1.umehusisha taasisi ya afya MUHIMBILI na wahudumu wake jambo ambalo linaweza kuleta taharuki 2.umeielezea dawa kwa undani bila kujali watu ambao wanaweza kuwa na nia ovu na kutaka...
  5. D

    Nesi akiri alivyomhanithi mumewe na kumuua polepole kwa dawa ya macho

    https://www.cbsnews.com/news/lana-steve-clayton-eye-drop-poison-suffer-48-hours/
  6. D

    Mrejesho: Tatizo langu la kupata mkojo tena dakika chache kila baada ya kumaliza kukojoa

    Kipimo kitaalam kinaitwa urethrocystoscopy Kinatumia waya mwembamba wenye diameter mithili ya ule mpira wa kukojolea (urine catheter) wenye camera kwa mbele na kinachochukuliwa kwenye camera kinakuwa displayed kwenye screen kubwa Madhara ya kipimo;kuleta michubuko kwenye njia ya mkojo ambapo...
  7. D

    TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

    2014-angalia wakiachwa hivyo hivyo wanakuwaje na wakitenganishwa inakuwaje Kipi afadhali
  8. D

    TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

    Mkuu we umeshawahi kusikia ngap zimefanyika hapa bongo? Vipi kuhusu upandikizaji wa figo? Ngapi zimefeli ngapi zimefanikiwa? Je ukilinganisha na za wenzetu sisi tuko position ipi?
  9. D

    TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

    Mara ya kwanza naijua JF nlidhani wengi ni watu wenye weledi Nadhani ni sababu mengine yaliyokuwa nayaongelewa sikuwa na uelewa nayo NB;tujaribu kufuatilia kabla ya kujibu vitu tusivyovielewa Tu gugo basi hata kidogo
  10. D

    TANZIA Pacha waliotenganishwa, mmoja afariki dunia

    Duhh! Hii ni Moja ya comment ya ajabu nliyoisoma kwa mwaka huu kutoka jukwaa la wasomi😔😔
  11. D

    Hawa wanaume hatujawajulia tu

    😂😂😂😂😂
Back
Top Bottom