Ur right Lisa, muda mwingi, tumekuwa watu wa kuongea bila kufikiria kwa sababu vitu tunavyovisoma, havijatufika sisi. Lakini, tungeelewa umuhimu wa kutoa ushauri na namna gani ushauri mzuri, huwa unaleta matokeo mazuri, tusingekuwa tuna-comment kama watoto wa darasa la1, kwenye mambo yenye umuhimu.