Recent content by Dr PJM

  1. Dr PJM

    SAUT main campus, mambo haya yanakera acheni!

    Mtoa mada nadhani ni vyema ungetembelea vyuo vingne tena vyenye majina makubwa na uone changamoto zake utamshukuru Mungu kwa kukupeleka SAUT. Nlikua juzi tu hapo,kwa upande wa gharama za maisha ziko chini.Hostel hata unazodai ni mbaya huwezi ukazifananisha na vibox vile vya Muhimbili ambavyo...
  2. Dr PJM

    Mtakaoomba second round TCU muwe makini sana

    Usikate tamaa ndg yangu endelea kupambana.Enzi zetu kuna watu walitemwa mpk 3rd round wakaingia vyuo kimagumashi sana.Kukosa 1st round haimaanishi ndo mwisho wa safar bali jitahid kufanya machaguo yako kwa umakini na huku ukiendelea kumuomba Mungu akawe pamoja nawe na hakika mwisho wa siku...
  3. Dr PJM

    Mtakaoomba second round TCU muwe makini sana

    Hongera mkuu kwa matokeo mazuri ingawa hayakukidhi mahitaji.Kimsingi hapo wanahesabu Masomo mawili hivo yaani CC mbili kutoka kwny comb yako tofauti na miaka yetu ilikua masomo ma3.Kwa maana nyingine kwa vigezo vya sasa ambavyo wanatumia two subjects from your combination una pts 6 na sio 9 km...
  4. Dr PJM

    Mtakaoomba second round TCU muwe makini sana

    Pole sana kk,kna baadhi ya vyuo huangalia hadi matokeo yako ya F4 hasa pale competition ikiwa kubwa mfano MUHAS mwaka jana na juz wote walioingia MD lazma walikua na division 1 ya o lvl ukiachilia mbal ufaulu wa adv.Weng walipigwa chini ingawa walikua na ufaulu mzr wa adv. ila o lvl hawana 1.
  5. Dr PJM

    Mtakaoomba second round TCU muwe makini sana

    Likosea mzee,awamu hii wanahesabia masomo ma2 ulofaulu vzr na sio ma3.Hivo una points chini ya 9.
  6. Dr PJM

    Kuhusu English Test ili uweze kupata scholarship

    Niunge hilo group Chief 0687908928
Back
Top Bottom