Recent content by dr medard

  1. dr medard

    Niagize gari gani kwa bajeti ya Tsh milioni 17?

    Nmechukua top iyo 17m Naamini hapo ukiagiza mwenyew hukosi Ila yard kuna baadhi zimesimama kdg
  2. dr medard

    Akili ya BMW kwenye Magari

    Kwa utaalamu wako ipi ambayo utashauri mtu amiliki hapa tanzania,ambayo ni reliable kwa mazingira yetu Maana inaweza kuwa engine nzuri ina performance lakini ina pons an cons zake piaa reliability kwa mazingira yetu unafahamu vizuri. Kwa performance yes mmeshasema ni F30 Je in terms of...
  3. dr medard

    Niagize gari gani kwa bajeti ya Tsh milioni 17?

    1.Vw cross POLO cc 1300 1L/ 14-17km 2.Subaru Impreza 2012 cc 1990 1L/ 10-14km 3.BMW 3series cc 1990 1L/10-12km 4.Crown 4GR cc 2490 utapata performance ila mafuta 1L/8-12 km inategemea na uendeshaji wako
  4. dr medard

    Akili ya BMW kwenye Magari

    Asante mkuu Ngoja nipate madini Napenda sana elimu ya magari [emoji122]
  5. dr medard

    Akili ya BMW kwenye Magari

    Mkuu hebu tuambie kidogo utofauti wa E90 vs F30 Tupe summary review tupate mwanga asee
  6. dr medard

    Mgote physics anakariri vitu, haelewi

    Kweli jamaa anajifanya deep sana Unataka uelewe physics yenyewe unafundishwa theory tena kaikuta kuanzia o-level .aache janja ukikomaa kutaka kuelewa physics kama akina Eistern humalizi hata mechanics tu kwa miaka miwili na Necta ikija lazima ikuone.Physics kariri inahitajika ikibidi na zile...
  7. dr medard

    Mgote physics anakariri vitu, haelewi

    Hahaaaaa umenikumbusha mbaali sana Mwamba Kihombo a.k.a kimangara Mungu amtunze sana jamaa bila yeye sijui physics ingeniua kifo gani asee..somo gumu sana alafu muda hautoshi kumaliza syllabus ebwaana noma kwelii..! Kihombo alikunja physics yote ndani ya miezi miwili Tulikuwa tunaanza pindi...
  8. dr medard

    Kwanini ununue gari ambayo gearbox ina gear ratios(more speed numbers) nyingi? Nini faida yake?

    Asante sana mkuu Umegusia kila ambacho nlikuwa natamani kukisikia Nmekuelewa Vizuri,ila kuna jambo linanipa shida Nkiangalia gari zinazouzwq bongo zina mileage ndogo around 40000km Wakati kene website tofauti tofauti hizi gari zina mileage kuanzia 90000km.na ukipata chini ya iyo40000km bei iko...
  9. dr medard

    Kwanini ununue gari ambayo gearbox ina gear ratios(more speed numbers) nyingi? Nini faida yake?

    JituMirabaMinne mkuu pole na kazi.. Nakuomba,ukipata nafasi please tupe ABC za hii gari mercides benz C class C200 vs c180 ?? Compressor vs Avant-garde??? Vitu gani tuzingatie kabla ya kuagiza Sitaki kufanya makosa ili nijifunze Crown new shape 2010 vs c200 Unamshauri kijana mwenye mishe za...
  10. dr medard

    Msaada nahitaji usafiri ushauri wenu

    Au pia unaweza kujipiga mpk 16 unaagiza Honda crossroads kalii tu..una enjoy min Suv au Toyota Ruminion
  11. dr medard

    Msaada nahitaji usafiri ushauri wenu

    VW polo BMW 3series/ x1 2006
  12. dr medard

    Siku akitokea Rapa mkali kuliko FID Q naomba mnishtue

    The Rap genius Whats a story teller Namfatilia sana sijawahi skip ngoma yake My fav album ya hiphop bongo ni “THE VERTELLER” [emoji1241]
  13. dr medard

    Siku akitokea Rapa mkali kuliko FID Q naomba mnishtue

    Ulimbi mbili my fav song [emoji91]
Back
Top Bottom