Recent content by Dr-John

  1. D

    Diamond platinumz apigwa madongo vibaya sana na baby madaha!

    Ushauri mzuri toka mahali pabaya
  2. D

    Florah Lymo: How to look sexy at home

    Nimeishia kucheka maana anafanana katuni yani anachekesha hata hajielewi anatafta umaarufu lakin haupati
  3. D

    Florah Lymo: How to look sexy at home

    Nimeishia kucheka maana anafanana katuni yani anachekesha hata hajielewi anatafta umaarufu lakin haupati
  4. D

    kwanini backberry company (RIM) imeanguka

    Mimi ni mtu wa kuchati sana napenda simu yenye physical keyboard maana inaniwezesha kutype bila kuangalia keboard. Ios 7 sijatumia so siwezi comment
  5. D

    Mwisho wa dunia 2032/August/26

    Haaa hizo story tu wanajifanya watabiri lakini katu hautimii dunia itaisha pale tu Mungu akpenda
  6. D

    sofa set used inatafutwa

    Nipatie namba yako mkuu au ntxt kwenye hiyo namba
  7. D

    sofa set used inatafutwa

    Natafuta sofa set used kwa mtu anayeuza. Bei isizi lak 7 na ziwe katika hali nzuri. Kwa aliye tayari ani txt 0717354243 au whatsapp kwa hiyo hiyo namba
  8. D

    Nyumba ya kisasa inauzwa

    LOCATION: BOKO/BASIHAYA PLOT SIZE: 925 SQUARE METRES Ina vyumba vitatu kimoja master bedroom yenye balcon, ina sebule kubwa, dinning room, jiko la ndani, public toilet na bafu ya ndani. Nyumba ndo kwa nyuma ambayo pia ina choo, bafu na chumba kimoja. Nafasi kubwa kwa nyuma na nafasi kubwa mbele...
Back
Top Bottom