Recent content by Dr Guitar tz

  1. D

    Polisi wamechangia tahadhari za kiusalama zilizotolewa na Marekani na Uingereza

    Yaani Tetesi tu za mtandao...?hakika utandawazi una nguvu Na nchi zetu afrika mmh
  2. D

    Marekani nayo yatoa tahadhari kwa raia wake kuhusu maandamano ya tarehe 26/4/2018

    Ila Mimi mpaka sasa sijaona mtu au kikundi wanao onyesha dalili ya kuandamana nipo dar Na nimesafiri baadhi ya mikoa hivi karibuni sijasikia hats watu wakiongelea huko ,sijui jambo hili Nani kalikuza hebu wacha tusubiri tuone
  3. D

    Je, huyu ndiye mrithi wa Masogange?

    Ushindwe sherani
  4. D

    DAR: RC Makonda kuwapima wanaume Tezi Dume nyumba kwa nyumba

    Tena amesema anaanzia mitaa ya unga Ltd USA river then Arusha yote
  5. D

    KENYA: Harusi ya Alikiba katika Msikiti wa Ummul Kulthum Mombasa

    Na linaingiana vipi Na mapanga?
  6. D

    KENYA: Harusi ya Alikiba katika Msikiti wa Ummul Kulthum Mombasa

    Elewa yafuatayo; Uislamu Na Uarabu ni vitu viwili tofauti! Kuna Waarabu wengi tu wakristo, Kanzu ni vazi tu halihusiani Na dini!
Back
Top Bottom