Nifanye nini niweze kuwa na Upeo wa Akili kama wanasiasa hawa?Nikiwasikiliza najisikia Wivu wa kutaka kuwa kama wao

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
Kila nikimwona na kumsikia kibajaji anaongea … kwa kweli natamani sana niwe kama yeye… naombea niwe na akili kama zake. Siku nikizipata ntafurah sana maana ntaishi maisha ambayo hayana stress na kiukweli ubongo wangu utapumzika sana. Kwa sasa najiona jinsi ninavyoutesa ,jinsi ninavyousumbua na kuuchosha kwa kuwaza na kuwazua. Kwa mfano kila jambo ninalotaka kulisema public mimi nalifikiria mara mbili mbili lakini kama nikifanikiwa kupata akili kama za kibajaji,elibariki kinge au msukuma wala sihitaji kufikiria mara zote hizo nakuwa huru tu.natiririka tu.


Mwingine ambaye natamani niwe na akili kama zake ni pole pole… aisee.. siku nikiweza kuwa kama yeye ntafurahi sana…. Itanisaidia hata kazini kuishi na maboss vizuri… kwa kweli watanipenda sana maana ntakuwa na akili kama za pole pole ambazo zipo hivyo zilivyo.najua mtanisema mimi mnafiki.lakini nikiwa na akili kama zake wala sitojali. pole pole Anajua to swim with the current…kipindi kile pole pole anapiga piga push ups watu hawakutegemea kuwa zitakuja kumlipa. Jamaa anaona mbali sana. Na kwa kweli nimegundua ana akili za hali ya juu.natamani nikiwa mzee niwe kama yeye… I mean nikiwa mkubwa.


Kwa ujumla tu napenda asilimia kubwa ya akili za wabunge,mawaziri na viongozi wa CCM. Hiki chama ni kizuri ukijiunga nacho unabadilika kabisa… unaanza kupumzisha ubongo.. so hauchoki haraka maana ubongo unatulia kabisa kama maji ya mtungini. Kwa kweli wamebarikiwa. Wasikilize wabunge wa CCM wakiongea.. hadi raha… wanaongea tu maneno yanawatoka hawahitaji kuumiza kichwa kukesha kufikiria kama wengine. Wa CCM wengi wao ni Geniuses wanatiririka tu.. halafu wanapigiana makofi basi nikiwaona nafurahi.. natamani name niwe kama wao… niamke tu kitini nioongeeeeee weee….. wenzangu wagonge meza kwa furaha. Tukitoka hapo tunachukua posho siku inaisha. Aisee… natamani sana.


Hapa nasema siku nikiwa mkubwa nitakuwa rais. Nitakuwa kama rais alivyo… ole wao washakunaku wajifanye kuja kunishauri ujinga…. Nitawatimulia mbali.. maana nitakuwa na akili za kipekee… nitakachosema ndicho kitakuwa. Nikiamka na mabangi yangu hata usiku nafanya ziara ya kushtukiza sehemu ila waandishi wanakuwa wamepewa taarifa so kutegemeana na mabangi ya siku hiyo yamenituma vipi.kwanza ukiwa rais unavuta bangi hata polisi hawakusumbui tena unaweza ukawa unavuta huku na mkuu wao yupo pembeni..au hata unamtuma akuletee ile kali ya Malawi. Hapo sasa nikivuta… wananchi wazembe na wenye kupenda maneno maneno bila kazi watanikoma.


Huwa nawacheck sana wale watu wanaoninyanyasa kwa sasa.. nawatizamana siku yao ipo.. wataimba halleluya..siku nikiwa rais wan chi hii… ntachagua watu ambao nawafaham hawahitaji akili kufiiri… hawa watakuwa wao wanaimba mapambio ya kunisifu na pia nikianzisha wimbo wao wanaimba kibwagizo tu maneno naweka mimi… watacheza na kushangilia. Wenye roho mbaya nitawafutilia mbali.ili nchi ibaki ya watakatifu wenye kunielewa mimi rais. Natamani sana kwa kweli.
 
Da! Hapo kwenye bangi tena kitu cha Malawi umezifanya mbavu zangu zinyooke.

Teh teh teh teheeeeeeeeeeee!!!!!!!
 
GuDume mimi natamani kuwa kama Good luck Mlinga, nadhani nikiwa kama yeye pia nitakuwa free zaidi yako wewe unaetamani kuwa kama msukuma. Mlinga ni mbunge wangu wa Ulanga Mashariki kwa hiyo nimechagua upande unifaao kabisa.
 
Kuna uzi wa jana ule wenyewe walikupa like za kufa mtu nilipowashtua waka dislike, leo naona wamekuchunuia, wanaanza kurudiwa na ufahamu,ila wakiendelea kurudisha fahamu watatimuliwa huko, kule akili zinatakiwa ziwe likizo zinaamka wakati wa kuvuka bara bara tu.
hahahaha kazi kweli kweli
 
Kila nikimwona na kumsikia kibajaji anaongea … kwa kweli natamani sana niwe kama yeye… naombea niwe na akili kama zake. Siku nikizipata ntafurah sana maana ntaishi maisha ambayo hayana stress na kiukweli ubongo wangu utapumzika sana. Kwa sasa najiona jinsi ninavyoutesa ,jinsi ninavyousumbua na kuuchosha kwa kuwaza na kuwazua. Kwa mfano kila jambo ninalotaka kulisema public mimi nalifikiria mara mbili mbili lakini kama nikifanikiwa kupata akili kama za kibajaji,elibariki kinge au msukuma wala sihitaji kufikiria mara zote hizo nakuwa huru tu.natiririka tu.


Mwingine ambaye natamani niwe na akili kama zake ni pole pole… aisee.. siku nikiweza kuwa kama yeye ntafurahi sana…. Itanisaidia hata kazini kuishi na maboss vizuri… kwa kweli watanipenda sana maana ntakuwa na akili kama za pole pole ambazo zipo hivyo zilivyo.najua mtanisema mimi mnafiki.lakini nikiwa na akili kama zake wala sitojali. pole pole Anajua to swim with the current…kipindi kile pole pole anapiga piga push ups watu hawakutegemea kuwa zitakuja kumlipa. Jamaa anaona mbali sana. Na kwa kweli nimegundua ana akili za hali ya juu.natamani nikiwa mzee niwe kama yeye… I mean nikiwa mkubwa.


Kwa ujumla tu napenda asilimia kubwa ya akili za wabunge,mawaziri na viongozi wa CCM. Hiki chama ni kizuri ukijiunga nacho unabadilika kabisa… unaanza kupumzisha ubongo.. so hauchoki haraka maana ubongo unatulia kabisa kama maji ya mtungini. Kwa kweli wamebarikiwa. Wasikilize wabunge wa CCM wakiongea.. hadi raha… wanaongea tu maneno yanawatoka hawahitaji kuumiza kichwa kukesha kufikiria kama wengine. Wa CCM wengi wao ni Geniuses wanatiririka tu.. halafu wanapigiana makofi basi nikiwaona nafurahi.. natamani name niwe kama wao… niamke tu kitini nioongeeeeee weee….. wenzangu wagonge meza kwa furaha. Tukitoka hapo tunachukua posho siku inaisha. Aisee… natamani sana.


Hapa nasema siku nikiwa mkubwa nitakuwa rais. Nitakuwa kama rais alivyo… ole wao washakunaku wajifanye kuja kunishauri ujinga…. Nitawatimulia mbali.. maana nitakuwa na akili za kipekee… nitakachosema ndicho kitakuwa. Nikiamka na mabangi yangu hata usiku nafanya ziara ya kushtukiza sehemu ila waandishi wanakuwa wamepewa taarifa so kutegemeana na mabangi ya siku hiyo yamenituma vipi.kwanza ukiwa rais unavuta bangi hata polisi hawakusumbui tena unaweza ukawa unavuta huku na mkuu wao yupo pembeni..au hata unamtuma akuletee ile kali ya Malawi. Hapo sasa nikivuta… wananchi wazembe na wenye kupenda maneno maneno bila kazi watanikoma.


Huwa nawacheck sana wale watu wanaoninyanyasa kwa sasa.. nawatizamana siku yao ipo.. wataimba halleluya..siku nikiwa rais wan chi hii… ntachagua watu ambao nawafaham hawahitaji akili kufiiri… hawa watakuwa wao wanaimba mapambio ya kunisifu na pia nikianzisha wimbo wao wanaimba kibwagizo tu maneno naweka mimi… watacheza na kushangilia. Wenye roho mbaya nitawafutilia mbali.ili nchi ibaki ya watakatifu wenye kunielewa mimi rais. Natamani sana kwa kweli.
kwa hio unatamani kuwa zuzu maana hao wote uliotaja ni mazuzu tayari
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom