Hapa mkuu umenena...! Hivyi katika dunia ya leo kuna mtu anaweza kukodisha ukumbi mkubwa vile na tena Bongo alafu achukue watu 400 tu!? Yule naye kaanza kuharibiwa na Clouds Fm... Ama kweli jamaa wa pale wanajua kuwageuza wasafi kuwa wachafu... Hata wewe Millard....!!!!???
Tanzania inaanza kuonja joto ya jiwe kwa kimbelembele chake. Hivi karibuni rais Jakaya Kikwete alipayuka kuwa imla wa Rwanda Paul Kagame ajadiliane na waasi wa FDLR walioko kwenye misitu ya DRC.
Rwanda kwa kutumia vyombo vyake vya habari hasa gazeti la New Times wameamua kumvua nguo Kikwete...
Ninachokiona mimi toka kwa Ruge ni kwamba kwanini aende kuongelea Shutuma zake kwenye Radio yake ya Clouds tena kwenye kipindi cha Power Breakfast na sio kwenye Ukumbi wa Habari Maelezo?
1.Anaogopa maswali ya waandishi wa habari?
2.Anajua jamii itafahamu uhalisia wa malalamiko dhidi yake...
Katika hali ya kushangaza, binti mmoja maarufu kwa jina la Hilda amejitokeza hadharani kupitia facebook yake na kudai kuwa yupo tayari kugawa penzi kwa diamond hata bure ili naye ajionee kinacho wafanya wanawake wenzie wamgombanie...
Huu ni ujumbe wake
"Hey...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.