Iyo furaha unayo itafuta ambayo huipati kwenye familia yako binafsi jua itakucost one day coz inaonyesha wazi sio mpango wa Mungu jaribu kusali sana umuulize Mungu yeye alie kupa familia hiyo
Mm udhaifu wangu nakua too caring halafu napenda usawa kwa kila kitu , kibaya naweza kuumia rohon kwajambo fulan lakin sisemi na ukaniona nipo sawa kumbe nimeoza kwa maumivu hili linanisumbua sana
Mm nadhan kikubwa u should trust God, that all umri wako bado unalipa usiwe na haraka mamyy, sometimes huwa tunadhan kuwa kila kitu kinacho tokea kwa wengine basi na sisi kiwe hvyo hvyo , kama rafiki au ndugu yako kawahi kutongozwa basi usitegemee na ww iwe hivyo huwez jua Mungu kakuepusha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.