Idadi ya waliokufa kwa Gongo yaongezeka, zaidi ya watu 10 wamefariki dunia tena, Polisi Na Familia ya marehemu yataja chanzo.
Imesemekana kuwa viongozi wa Mtaa nao ni wanywaji wa Gongo hiyo kali Na ndio maana imekuwa vigumu kudhibiti utumiaji wa Gongo hiyo.
Habari zaidi tizama hiyo video
Wengi wamekuwa na mashaka kuwa Oliver Mtukudzi amefaliki Dunia lakini hizo zote zilikuwa ni hisia tu baada ya Mwana Muziki huyo mzaliwa wa Nchi ya Zimbabwe kukaa kimya kwa muda mlefu na huku kukiwa na minong'ono ya hapa na pale kuwa ana ugonjwa Hatari sana.
Hivi karibuni Oliver Mtukudzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.