Recent content by dosho12

  1. dosho12

    JamiiForums Tanzania Usizae kwa kufuata mkumbo kama unataka kuondoa umasikini kwenye familia/kizazi acha kuzaa ovyo

    Tena mtoto kafunzwa na Binti wa zamani 😁
  2. dosho12

    JamiiForums Tanzania Usizae kwa kufuata mkumbo kama unataka kuondoa umasikini kwenye familia/kizazi acha kuzaa ovyo

    Nani huyo harmful au 😁
  3. dosho12

    JamiiForums Tanzania Usizae kwa kufuata mkumbo kama unataka kuondoa umasikini kwenye familia/kizazi acha kuzaa ovyo

    Mi naona tumuache kwanza akue, bado mdogo ajifunze kwanza kwangu Harmful
  4. dosho12

    JamiiForums Tanzania Usizae kwa kufuata mkumbo kama unataka kuondoa umasikini kwenye familia/kizazi acha kuzaa ovyo

    Harmful ni mdogo wangu wa mwisho, kipindi yupo mdogo alikuwa akisema akikua anataka kuwa kama kaka dosho hivyo ndo maana unaona kama tunafanana
  5. dosho12

    JamiiForums Tanzania Usizae kwa kufuata mkumbo kama unataka kuondoa umasikini kwenye familia/kizazi acha kuzaa ovyo

    haya maneno usije sema mbele ya watoto, ba mkubwa wao hawezi kimbia
  6. dosho12

    JamiiForums Tanzania Usizae kwa kufuata mkumbo kama unataka kuondoa umasikini kwenye familia/kizazi acha kuzaa ovyo

    ba mkubwa nipo andoe shaka
  7. dosho12

    JamiiForums Tanzania Ferrari wamezindua Ferrari Luce: Ferrari ya kwanza ya umeme kwa Tsh Billion 1.7 tu!

    Siku si nyingi tukipata tu hospitali ya kuuza figo
  8. dosho12

    JamiiForums Tanzania Ferrari wamezindua Ferrari Luce: Ferrari ya kwanza ya umeme kwa Tsh Billion 1.7 tu!

    Ondoa shaka Tutaweka figo za Harmful
  9. dosho12

    JamiiForums Tanzania Ferrari wamezindua Ferrari Luce: Ferrari ya kwanza ya umeme kwa Tsh Billion 1.7 tu!

    Huwezi kuteseka kama mimi bado nipo 😎
  10. dosho12

    JamiiForums Tanzania Ferrari wamezindua Ferrari Luce: Ferrari ya kwanza ya umeme kwa Tsh Billion 1.7 tu!

    win-one haina haja ya kazi, ushauri huo hapo 😁
  11. dosho12

    JamiiForums Tanzania Ferrari wamezindua Ferrari Luce: Ferrari ya kwanza ya umeme kwa Tsh Billion 1.7 tu!

    Kijana una akili nyingi, em agiza kinywaji hapo nalipa mimi
  12. dosho12

    JamiiForums Tanzania Ferrari wamezindua Ferrari Luce: Ferrari ya kwanza ya umeme kwa Tsh Billion 1.7 tu!

    Dah! Kumradhi wana jukwaa nilimanisha ile Benz yake ulimi hauna mfupa
  13. dosho12

    JamiiForums Tanzania Ferrari wamezindua Ferrari Luce: Ferrari ya kwanza ya umeme kwa Tsh Billion 1.7 tu!

    Ngoja niagize,sasa ile baiskeli njoo saa kumi na mbili uichukue mi basi tena inabidi nianze kutumia ndinga kama hzi
Back
Top Bottom