Hatari, kuna wazo nimewaza ni la kijinga lakini😁, vipi kama na sisi ni micro organism ya viumbe wakubwa zaadi, yani ulimwengu wetu vipi kama upo ndani ya viumbe wengine wakubwa zaadi😁
Hii ni sayansi sauti ni waves zinapita kwenye mic mpaka kwenye mnara kwa mfumo wa waves inayokuwa coded kisha zikifika kwenye kifaa chingine zinabadilishwa na kuwa sauti tena, mkuu Robert20 we unahisi ni nini hasa kinafanyika, unajua sayansi inafanya kazi ya kutafsiri lugha ya nature ili...
I agree, binadamu huwa haridhiki na anachopata ila tunachoweza ni ku control zile tamaa zetu na kujiambia tumeridhika hata kama ni deep inside tunajua hii ni false belief
Mi nilishamaliza season 1 na 2, sijui kama watatoa season 3 ila wanachukua almost miezi 6 mpaka 7 kutengeneza episode moja tu, nasubiri nione episode inayofata sijui wata zungumzia nini
2211hrs
" every person carries an onvisible cemetery, which is filled with forgoten dreams, broken promises, silent apologies and version of themselves that never had a chance to exist"
Kwenye mwili wa mwanadamu kuna mamilioni ya viumbe wanaoishi ndani yake ambapo ukiwatoa huwezi ku survive sababau mwili wa mwanadamu unategemea sana msaada wa viumbe hao, hata kwenye ngozi ya mwanadamu kuna viumbe kama{microscopic animal, fangasi na bakteria} mbapo hata ukiwaosha kwa maji safi...
Samahani mkuu sijaelewa lengo lako hasa ni nini sijaona conclusion ya mada umetumia maneno mengi kusimulia episode nzima, badala ya kwenda kwenye lengo au unge andika kifupi tu episode inazungumia nini na kuunganisha na mada , tuone hizo njama za elites ni zipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.