Recent content by dosho12

  1. dosho12

    Series (Special thread)

    Uliangalia na watu au umeambia watu waingalie😁
  2. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    Huu ni unyayasaji, wazee wana haki ya kupigana pia😁
  3. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    Unataka kijana afungwe kaka😁
  4. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    mapambano yote mpaka apatikane mshindi, tunaanza hilo la pili kwanza😎
  5. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    😅 usiogope ntakutaftia mwanasheria mzuri
  6. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    Mimi nataka kugombana upo wapi nije tuzichape 😎
  7. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    Imeisha hyo mimi ntakuwa promota wa pambano, utazichapa na Harmful jumamosi hii
  8. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    Ngoja nijiandae mshenga kupeleka posa, wiki ijayo ndoa ifungwe hakuna kuchelewa 😁
  9. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    Kabisa kaka, Harmful inabidi achague anaoa mwenyewe au anaozesha kwa lazima 😁
  10. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    ondoa shaka ndugu yangu lazima tule pilau mwaka huu 😁
  11. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    we jifanye mjuaji sasa hivi tukikufuma na binti wa mtu ni ndoa ya mkeka kwa lazima 😎
  12. dosho12

    Mjadala huru: Utaoa sura au tabia?

    Oa kijana acha ubishi 😎
  13. dosho12

    JamiiForums Usiku wa manane

    Vijana wa siku hizi mnawakosoa wakubwa zenu 😞 dunia inaisha, sawa mdogo wangu nimepokea ushauri😏😎
  14. dosho12

    JamiiForums Usiku wa manane

    00:22
Back
Top Bottom