Recent content by dosho12

  1. dosho12

    JamiiForums Tanzania Scientific fact na knowledge Thread

    Hatari, kuna wazo nimewaza ni la kijinga lakini😁, vipi kama na sisi ni micro organism ya viumbe wakubwa zaadi, yani ulimwengu wetu vipi kama upo ndani ya viumbe wengine wakubwa zaadi😁
  2. dosho12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Yupo saa hivi kwenye simu yake anacheka tu mwenyewe ana enjoy anatikisa na miguu anashusha dislike 😅
  3. dosho12

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    😅 dah! Haya bwana
  4. dosho12

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Hii ni sayansi sauti ni waves zinapita kwenye mic mpaka kwenye mnara kwa mfumo wa waves inayokuwa coded kisha zikifika kwenye kifaa chingine zinabadilishwa na kuwa sauti tena, mkuu Robert20 we unahisi ni nini hasa kinafanyika, unajua sayansi inafanya kazi ya kutafsiri lugha ya nature ili...
  5. dosho12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Ngoja ukifika kwenye episode ya "the island of dajjal" ndio utashangazwa, hiyo ndio episode yangu pendwa zaidi
  6. dosho12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Kabisa
  7. dosho12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    I agree, binadamu huwa haridhiki na anachopata ila tunachoweza ni ku control zile tamaa zetu na kujiambia tumeridhika hata kama ni deep inside tunajua hii ni false belief
  8. dosho12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    Mi nilishamaliza season 1 na 2, sijui kama watatoa season 3 ila wanachukua almost miezi 6 mpaka 7 kutengeneza episode moja tu, nasubiri nione episode inayofata sijui wata zungumzia nini
  9. dosho12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    2235hrs "it doesn't matter what we want, once we get it, then we want something else"
  10. dosho12

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    2211hrs " every person carries an onvisible cemetery, which is filled with forgoten dreams, broken promises, silent apologies and version of themselves that never had a chance to exist"
  11. dosho12

    JamiiForums Tanzania The simpsons na kile kinachoitwa nadharia njama Je nasi hatma yetu hii juu ya global elites?

    Ok, ngoja tuendelee kufatilia
  12. dosho12

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Zishatoka tatu sasa hivi
  13. dosho12

    JamiiForums Tanzania Scientific fact na knowledge Thread

    Kwenye mwili wa mwanadamu kuna mamilioni ya viumbe wanaoishi ndani yake ambapo ukiwatoa huwezi ku survive sababau mwili wa mwanadamu unategemea sana msaada wa viumbe hao, hata kwenye ngozi ya mwanadamu kuna viumbe kama{microscopic animal, fangasi na bakteria} mbapo hata ukiwaosha kwa maji safi...
  14. dosho12

    JamiiForums Tanzania The simpsons na kile kinachoitwa nadharia njama Je nasi hatma yetu hii juu ya global elites?

    Samahani mkuu sijaelewa lengo lako hasa ni nini sijaona conclusion ya mada umetumia maneno mengi kusimulia episode nzima, badala ya kwenda kwenye lengo au unge andika kifupi tu episode inazungumia nini na kuunganisha na mada , tuone hizo njama za elites ni zipi
  15. dosho12

    JamiiForums Tanzania Series (Special thread)

    Nimeshaangalia ep ya kwanza tu, ila toka s1 nilikuwa naikubali,
Back
Top Bottom