🎶....wakikuliza naendeleaje waambie vizuri zaadi ya jana, vizuri zaidi ya wao Mungu ana maguvu sana, mirunzi mingi na kubwa la mbwa sipotei, mipango ya miaka chungu nzima na dili haunitoi...🎶 Seran enjoy ngoma hyo
🎶sasa unanuna nini au unadhani na mimi napenda, nishazichoka na mimi mboga za majani kila siku mlenda, siko juu siko chini niko nusu sado, sio wa kumi si sabini ngoma ngumu bado🎶 win-one
Twende na huu
🎶Hii dunia kumbe tamu
Ulikuwa wapi ku-enjoy wanadamu
Yaani dunia kumbe tamu
Ili nilikuwa wapi mmmh
We unanipatia maana nilishalalia sana
Navyojikatia tamaa, ooh lalalee🎶
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.