Binafsi nilipoandika uzi wa Tanzania Kwanza watu walinishambulia na katika kunishambulia waliweka maneno HAKI na AMANI.
Hivi nini kitangulie, haki au amani? Kwa sababu penye vurugu hata hiyo haki haiwezi kupatikana.
Wana JF,
Nimeandika uzi wa TANZANIA NI BORA KULIKO SIASA
Nimepata reply nyingi na niseme wazi kuwa watu wengi wanaonekana kuichoka amani kwani ndani ya Tanzania wana-reply kwa hasira na chuki.
Leo naomba TUCHAGUE lipi bora, Tanzania kwanza au siasa kwanza. Tukichagua Tanzania kwanza nadhani...
Amani inanajisiwa kutokea kwenye mawazo ya watu , watu wanaona Bora tuvurugane kuliko , kutulizana na ndo maana nkawaambia Tanzania ni zaidi ya SIASA, ilium wa na watu wake kabla ya SIASA enzi za machifu akina MKWAWA , RUMANYIKA N.K Tanzania ilikuwepo na mpaka leo ipo sasa kwanini tuipoteze...
Wana Jf ,
Nimeangalia Tanzania na watanzania wanavyoishi kwa amani nikaamua nikuandikie wewe unae taka kuichezea amani ya nchi kuwa Tanzania ni ZAIDI ya vyama vya Siasa , Tanzania ilikuwepo kabla ya vyama vya Siasa kuwepo kimaanisha aridhi ya Tanzania na watu wake viliumbwa na muumba hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.