Dorin Kaaya
Member
- Sep 18, 2020
- 15
- 15
Wana JF,
Nimeandika uzi wa TANZANIA NI BORA KULIKO SIASA
Nimepata reply nyingi na niseme wazi kuwa watu wengi wanaonekana kuichoka amani kwani ndani ya Tanzania wana-reply kwa hasira na chuki.
Leo naomba TUCHAGUE lipi bora, Tanzania kwanza au siasa kwanza. Tukichagua Tanzania kwanza nadhani tutaelewana.
Siasa za dunia na Afrika kwa ujumla zina mengi ila kikinuka ndo unaeza jua umuhimu wa nchi yako kuliko siasa niseme wazi kuwa Mimi naona Tanzania kwanza alafu wanadiaea wajichunge ili Watanzania waendelee na amani Kuna wengine tunajua pakiharibika, hakuna shule, hakuna kazi, hakuna kuoa wa KUOLEWA hakuna furaha.
Watanzania TUCHAGUE Tanzania kwanza au siasa kwanza nakuuliza wewe?
Nimeandika uzi wa TANZANIA NI BORA KULIKO SIASA
Nimepata reply nyingi na niseme wazi kuwa watu wengi wanaonekana kuichoka amani kwani ndani ya Tanzania wana-reply kwa hasira na chuki.
Leo naomba TUCHAGUE lipi bora, Tanzania kwanza au siasa kwanza. Tukichagua Tanzania kwanza nadhani tutaelewana.
Siasa za dunia na Afrika kwa ujumla zina mengi ila kikinuka ndo unaeza jua umuhimu wa nchi yako kuliko siasa niseme wazi kuwa Mimi naona Tanzania kwanza alafu wanadiaea wajichunge ili Watanzania waendelee na amani Kuna wengine tunajua pakiharibika, hakuna shule, hakuna kazi, hakuna kuoa wa KUOLEWA hakuna furaha.
Watanzania TUCHAGUE Tanzania kwanza au siasa kwanza nakuuliza wewe?