Habari za mwezi mpya huu wa 5.
Sijaingia hapa jukwani tangu mwisho wa mwez huu.
Sijui huko mei mosi wameahidi nini, je watumishi wa umma matumaini yako wapi na bei hizi?
Huku mtaani hali ni tete mno mwendo wa mlo mmoja umeanza kwa kasi kubwa.
Aliyesikia chochote atugambilie.
Kuna picha kadhaa zilizopo mitandaoni za huyu mtu. Je ni kwamba hafungamani za raia wa kawaida au, watu wanaogopa kupiga picha nae, au kuonekana popote.
Hii inashangaza kidogo, wakati mambo mengi yakiongelewa inaonekana ni kwa siri sana picha ikitokea katika tukio flani ama inaungwaungwa au...
Ingekuwa kwa iwezo wangu, viongozi wote wakar ofisi za kawaida sana, mtaani waishi na raia kikawaida sio kujificha huko mbweni, masaki na msasani.
tuwe na viongozi tunakwenda soko la ilala, ngaramtoni, himo, nyegezi sio kujificha kwenye malls
tukar wote foleni za kumuona Dr sio kubaguana...
Inaweza kununua gari 183 za halmashauri zote nchini, kwa kila gari milioni 200 piga mara idadi. Lkn mashine moja ni kipengele
magari ya mawaziri na manaibu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wote. bilions of money unaacha kununua mashine ya vipimo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.