Recent content by dorge

  1. dorge

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kuna siku si za bahati yaani nikalia jani
  2. dorge

    JamiiForums Tanzania Huku mtaani hali ni tete mno, mwendo wa mlo mmoja umeanza kwa kasi kubwa

    biashara hazitasaidia
  3. dorge

    JamiiForums Tanzania Wasifu wa Naibu Waziri wa Ajira Eveline Munisi

    ana 45yrs huyo
  4. dorge

    JamiiForums Tanzania Huku mtaani hali ni tete mno, mwendo wa mlo mmoja umeanza kwa kasi kubwa

    Habari za mwezi mpya huu wa 5. Sijaingia hapa jukwani tangu mwisho wa mwez huu. Sijui huko mei mosi wameahidi nini, je watumishi wa umma matumaini yako wapi na bei hizi? Huku mtaani hali ni tete mno mwendo wa mlo mmoja umeanza kwa kasi kubwa. Aliyesikia chochote atugambilie.
  5. dorge

    JamiiForums Tanzania Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030. Tunzeni huu Uzi

    RAIS kitalembwa !! mbona haviendani
  6. dorge

    JamiiForums Tanzania Chelsea inasikitisha sana ilitakiwa iwe ya 16 hafi jana

    boko chlkie
  7. dorge

    JamiiForums Tanzania Natumia samsung ya mkopo mkiona sipo hewani mjue sina 1500 ya rejesho

    ona wakongwe hawa wametulis tuli
  8. dorge

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    lakini kwa nn uoe single mother akati wakina min -me wamejaa hawana watoto
  9. dorge

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu Single Mothers

    ukipenda boga?
  10. dorge

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa Kombe la Dunia 2026 ni mbaya; hauna hadhi ya michuano hiyo, umekaa kama Kwaya ya kanisani

    nimeukatisha naona unakula mb zangu tu
  11. dorge

    JamiiForums Tanzania Picha za Abdul ni chache sana, siri ni nini?

    Kuna picha kadhaa zilizopo mitandaoni za huyu mtu. Je ni kwamba hafungamani za raia wa kawaida au, watu wanaogopa kupiga picha nae, au kuonekana popote. Hii inashangaza kidogo, wakati mambo mengi yakiongelewa inaonekana ni kwa siri sana picha ikitokea katika tukio flani ama inaungwaungwa au...
  12. dorge

    JamiiForums Tanzania Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Ingekuwa kwa iwezo wangu, viongozi wote wakar ofisi za kawaida sana, mtaani waishi na raia kikawaida sio kujificha huko mbweni, masaki na msasani. tuwe na viongozi tunakwenda soko la ilala, ngaramtoni, himo, nyegezi sio kujificha kwenye malls tukar wote foleni za kumuona Dr sio kubaguana...
  13. dorge

    JamiiForums Tanzania Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Inaweza kununua gari 183 za halmashauri zote nchini, kwa kila gari milioni 200 piga mara idadi. Lkn mashine moja ni kipengele magari ya mawaziri na manaibu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wote. bilions of money unaacha kununua mashine ya vipimo
  14. dorge

    JamiiForums Tanzania Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Dudu anawapa za uso wasomi, hii ni balaa
Back
Top Bottom