Polisi na jeshi kuonekana mtaani na vituoni baadhi ya maeneo kuna gari za maji washawasha kuna nini?
Kama kuna anayejua hili jambo nielewesheni maana hatujazoea vita au virugu.
Hizi
Familia za kifalme Miaka 10 iliyopita zimekuwa na heshima kubwa katika jamii nchini Norway. Walikuwa wakipanda public transport na walijichanganya hata kulipia nauli na kukaa na raia tatizo hawa walisaini mikataba ya ushoga miaka mingi. Watoto kama huyo wanaharibika vby sana. Miaka zaid 10...
Kuhusu kuibiwa kariakoo niliibiwa mwaka 2000 nikiwa nimevaa kaputula wakachojian2000 yangu, muliize mtu miaka hiyo 2000 ilikuwa na thamani kias gani, nilipagawa nilipagawa
Kariakoo sio sehemu salama. Wengi mnapasifu mnapata vihela ila ni sehemu hatari ,is like hell,Haina usalama kiafya,kiuhai kikila kitu.
Yaani kama ndio sehemu tunajivunia! We are done. Leo nikiwa naungaunga daladala kikaishia buguruni, nikaunga tena daladala lingine la mnazi, nikashuka karume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.