Recent content by dorge

  1. dorge

    Hapa atatoka Rais wa Tanzania 2030 tunzeni huu Uzi

    RAIS kitalembwa !! mbona haviendani
  2. dorge

    Pongezi kwenu Single Mothers

    lakini kwa nn uoe single mother akati wakina min -me wamejaa hawana watoto
  3. dorge

    Pongezi kwenu Single Mothers

    ukipenda boga?
  4. dorge

    Picha za Abdul ni chache sana, siri ni nini?

    Kuna picha kadhaa zilizopo mitandaoni za huyu mtu. Je ni kwamba hafungamani za raia wa kawaida au, watu wanaogopa kupiga picha nae, au kuonekana popote. Hii inashangaza kidogo, wakati mambo mengi yakiongelewa inaonekana ni kwa siri sana picha ikitokea katika tukio flani ama inaungwaungwa au...
  5. dorge

    Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Ingekuwa kwa iwezo wangu, viongozi wote wakar ofisi za kawaida sana, mtaani waishi na raia kikawaida sio kujificha huko mbweni, masaki na msasani. tuwe na viongozi tunakwenda soko la ilala, ngaramtoni, himo, nyegezi sio kujificha kwenye malls tukar wote foleni za kumuona Dr sio kubaguana...
  6. dorge

    Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Inaweza kununua gari 183 za halmashauri zote nchini, kwa kila gari milioni 200 piga mara idadi. Lkn mashine moja ni kipengele magari ya mawaziri na manaibu, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wote. bilions of money unaacha kununua mashine ya vipimo
  7. dorge

    Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Dudu anawapa za uso wasomi, hii ni balaa
  8. dorge

    Maafisa Idara za elimu anapostaafu Kiinua mgongo ni Wastani wa Tsh ngapi kwenye TGTS H au I?

    hapana mkuu pitia mafaili yako vizur. Huyo wa juu sana tena karibia kistaafu. Salary yao ni 2 milion kwenda juu kwa sheria za Tanzania afisa ni mhitimu katika level ya elimu ya juu na muajiriwa serikalini
  9. dorge

    Hivi kwanini hii dharau ina kuja automatically?

    enzi hizo nikiwa kidato cha pili tulishindana kula kwa level Anayeweza kuvua kyupi cha wa kidato au level za juu. zilikuwa enzi utoto na ujinga, no protection aka kula mbichi au pekupeku. nilikumbuka nikiwa napiga pdg(code) niliwaza sana nikiwa namuona mwl lecturer wangu tukimpunzisha...
  10. dorge

    To German Embassy in Tanzania: Protesters were burned alive at a German cement factory in Dar es Salaam. We need answers!

    Watanzania waomba ushirikiano ili kuibua undani wa kile kilichotokea katika Kiwanda cha Saruji cha Twiga jijini Dar es Salaam wakati wa ukandamizaji wa umwagaji damu wa Samia Suluhu Hassan katika maandamano ya siku ya uchaguzi Oktoba 29, 2025. Kulingana na ripoti mbalimbali za vyombo vya...
Back
Top Bottom