Hello jf members! jamani eeh naomba nieleweshwe juu ya hii tetesi ninayosikia bot ITV, nasikia waandishi wake wa habari hawalipwi mshahara wa kila mwezi. waandishi wanalipwa kwa siku tena kama mtu amepata habari na kupeleka; je tetesihizi zina ukweli wowote?
hello, xory 4 yo problem kuna cku walikuwa wanatangaza kwenye tv namna ya kuzuia isigomegome, i didnt listen to i much but i once cod makao makuu wakasema antenna iangalie upande wa airport. but kama una ile antenna ndogo weka juu ya startimes yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.