Tangu jtano ya wiki ulopita Yan siwez tengeneza account Mara naambiwa nisha register wakat mm sikutengeneza account na Wala password sikujaza na sikuletewa password ya kuweka sielew nafanyaje kutengeneza account
Umefanyaje kucreate account maana mm nimeletewa control number nikalipa kumbe sjatengeneza account Sasa nikitaka kuingia inagoma an maana hata sehem ya kuletewa password sikuletewa nijaze
Hata mm imenigomea an nmeweka namba ya form 4 nikaletewa sehem ya kujaza email na namba ya simu halafu nikaletewa control number nilivolipia tu nataka kuendelea nikiingia naambiwa no active account found siwez kuendelea na step nyingne yoyote nimepiga lakn hawapokei😥😥
Habar Wana jf,
Kwa wenye ufahamu zaidi kuhusu hili je unaweza kusajiliwa chuon Kama una copy ya Chet Cha form four kwa mtu aliyepotelewa na Chet original au haiwezekan mpk Chet chenyewe ndo unasajiliwa nasemmea kwa first year wakat wa kuliport chuon
Jamani inawezekana vipi nikachaguliwa chuo ambacho sikukiomba Yan nilichaguliwa chuo Cha Kampala dirisha la kwanza na mimi sijawahi kukuomba hiki chuo niliomba udsm ,ardh na mzumbe lakini sikuchaguliwa.
Nilirudia dirisha la pili tena ndo nasubilia matokeo Sasa Leo napigiwa na chuo Cha Kampala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.