Recent content by dora

  1. D

    Madansa 3 wa Diamond Platnumz wazamia Marekani kwa Visa za WCB

    Visa ya Marekani ni multiple entry, kama ni ya mwaka mmoja unaweza kwenda n kurudi multiple times bila shida yoyote kabla hip mwaka haujaisha.
  2. D

    Collaboration kali zilizowahi kusumbua Bongo

    Christian Bella ft. Ommy Dimpoz - Nani kama mama
  3. D

    Mjue James Hardley Chase, Mwandishi maarufu wa Vitabu vya Riwaya

    Sikumbuki kusoma novel za Chase, wacha nizitafute. Binafsi nampenda John Grisham; nimesoma novel zake karibia zote.
  4. D

    Sijawahi Kuona Hii Kitu kwa Mfiwa, Anayejua Ina Maana Gani?

    Wangeweka msiba nje, kwenye mzunguko mkubwa wa hewa. Mfiwa naye akae nje kwenye sehemu aliyoandaliwa, akichoka anarudi ndani kupumzika.
  5. D

    Burger mitaa ya Posta

    I agree, zile burgers zilikuwa nzuri sana. Ilikuwa opposite na jengo la Extelecoms kwa nyuma
  6. D

    Wito wangu kwa Wanawake: Achaneni kabisa na usafiri wa bodaboda, sio salama kwenu

    Boda boda ni chinja chinja. Shime wandugu, kama unaweza tumia usafiri mwingine please tumia ili kuepusha majanga.
  7. D

    Mkuu wa Mkoa, tunaomba Walimu waliohusika kumwalika Amber Rutty Shuleni wachukuliwe hatua

    Hapo ndio penye tatizo. Mavazi hayakuwa ya heshima.
  8. D

    TANZIA Waziri wa zamani, Basil Pesambili Mramba afariki dunia kwa ugonjwa wa COVID-19

    Apumzike kwa amani mzee wetu Basil Pesambili Mramba. Poleni sana wana familia, ndugu, jamaa na wote walioguswa na msiba huu.
  9. D

    Tunapopoteza Matajiri 5 ndani ya wiki 1

    Ndio inabidi uendelee kuchukua tahadhari, usidhani uko salama. Maana hata chango haikupi kinga kwa asilimia 100.
Back
Top Bottom