Back then kabla sijaoa, tulitamaniana na dada mmoja ambaye alikuwa ndio kaanza ajira mpya, akiwa amepanga maeneo ya sinza kwa Remy.
Wakati wote tulikuwa tunakutana kwenye kituo cha daladala sinza kwa remy, labda yeye akiwa anashuka kwenye gari au ndio anapanda kuondoka.
Siku hiyo, nikasema na...
Jukumu lako ni kulipa kodi tu, tena kwa wakati.
Kabla hujapewa Notisi, ni wajibu na uungwana ukaeleze sababu kwanini umechelewa kutekeleza wajibu wako wa kimkataba/makubaliano na ikiwezekana uhaidi kutekeleza jukumu lako hilo.
Kuchelewa kulipa Kodi hakuwezi kutumika kama sababu/an indirect...
Kiwango cha chini;
Kila siku 10k (Naacha home),
Kila wiki nampa 50k (for Fuel),
Kila mwisho wa mwezi 300k (Mahitaji ya home na yake Binafsi).
Chakula na bills nalipa mimi. Fair!!!
Zamaani sana nikiwa bado naishi na wazazi home. Nilikuwa na majukumu ya kuhakikisha kuku wameingia bandani, nawafungia halafu nafungulia na kulisha mbwa.
Siku hiyo, nikiwa nahesabu kuku bandani, akaja mke wa mpangaji wetu (kabinti kadogo dogo) kalikuwa kananichekeaga chekeaga siku za awali...
Nadhani tatizo huanzia kwa mke mwenyewe na sio jamaa wa nje. Vema kutazama mapungufu ya ndani kabla ya kuwatazama wazengeaji.
Unakuta mke ndio anang'ang'aniza kabisa kuliwa tena unakuta mke ndiye analipia hadi na gharama za kulana.
Iliwahi kunitokea, tuluenda msibani (mkoani), tulipofikia...
Meseji ulizokuta hazikulengwa kwako, ndio maana umeishia kuumia. Yeye aliziona na hakuyumba kukupenda. Acha kusoma msg za mwenzako, vema mwambie awe anakuhadithia tu[emoji1]
Wake wengi wao wanabwetekaga ndoani, wanajikuta wanataka kuwamiliki waume, sio hivyo!!
Sio kwamba tunapo-cheat huwa...
Pole sana.
Ila fanya maamuzi sahihi...nina uncle wangu mmoja aliwahi mwacha mke wake na maliza zake zote, akaondoka na nguo alizovaa tu. Hajawahi kutoboa tena zile levels alizokuwa nazo mpaka leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.