daaah ni hatar kwakweli mipia nasumbuliwa sana natatzo hlo nanilikuwa cjagundua tatzo ninini lakn baada ya kugoogle tena sasa hiv ndo nakutana nahi mada hapa lakn nimekuwa nikioga maji yamoto ndo nawashwa sehemu za mapaja mgongon na miguuni lakn mwili ukikauka2 naacha kuwashwa kabsa
mi nina tecno W3 katika alakati za kuiflash ilizama lakn niki connect kwenye pc inaonekana kwenye divaic sasa je kunauwezekano wakuwaka tena na ni firmware ipi inaweza nisaidia ikawaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.