Recent content by Donray

  1. Donray

    Mkopaji anatakiwa kudai fidia iwapo Benki imeuza nyumba yake bei ndogo

    Damn. Situation yangu kwa Sasa. 🙏. Sijui Sasa iyo valuation report naipataje ase. Yeyote anaeweza nisaidia 🙏.
  2. Donray

    Nataka kuigeuza Tsh. 2,000 itengeneze zaidi ya Tsh. Million 1 kila mwezi

    Iki kupendeza bro tupe abc hapa. Kwamba inahitaji uchukue kreti ngap za bia ndo upate kwa hiyo Bei ya jumla na Ni order unafanya wapi???
  3. Donray

    Ikulu Dar: Kamati ya Uongozi ya ACT Wazalendo imefanya mazungumzo na Rais Samia

    Kelele kama??? Kufanya masungumzo na mama skuizi Ni ufahari. Au nisehemu ya kiki???
  4. Donray

    Morogoro ni Mkoa mzuri namba Moja wa kuishi Tanzania

    🤣🤣🤣🤣🤣 Hii ndo point Bas nipeni taratibu zakuhamia
  5. Donray

    Nauza laini za Uwakala wa mitandao yote

    Niko mkoa wa Singida nauza laini zote tano za uwakala na zimesajiliwa kwa TIN number na leseni ni ya biasharaa ya nyumbani. Na pia Nina mashine ya CRDB. Kwa atakae itaka labda awe ndani ya Singida ila nje ya singida itabidi awe na connection itakayo msaidia kuihamisha mkoa. Bei maelewano...
Back
Top Bottom