Recent content by DONIZ

  1. D

    Manchester United kilichobaki ni kuifunga Chelsea goli 4

    Wiki hii woman united akifungwa tunamwokotea top 3 za kushuka daraja. Maana timi hizo kazizid point moja hadi tatu
  2. D

    Liverpool hawezi kumfunga Manchester United hata iwe mbovu

    Kala furgason 4 OT akiwa naforwad zake kama cr7 atakuwa ole
  3. D

    Liverpool hawezi kumfunga Manchester United hata iwe mbovu

    Hawakumbuki ukiwasikia wanaongelea matokeo ya van gaal
  4. D

    Liverpool hawezi kumfunga Manchester United hata iwe mbovu

    Yaan mashabiki wa man u wamebakiza historia hakumbuki msimu uliopita kapigwa na liver. Haya hivyo na historia nayenyewe haiwabebi hawakumbuki kuwa man kipigwa na na liver hadi kubadili jina la klab kutoka newton health fc kuwa man u
  5. D

    Chagua Watatu Bora Kuwahi Kuvaa Jezi Namba 10

    Weekweli inaonekana umeanza kuangalia mpira siku za karibuni kwani wakati gaucho akicheza barca messi alikuwa hayupo barca
  6. D

    Chagua Watatu Bora Kuwahi Kuvaa Jezi Namba 10

    Zidane Gaucho Okocha
  7. D

    Makombe yajayo ya EPL bado yapo mikononi mwa Guardiola

    Huyu shetani kila ataetaka kumgonga anagonga hawa jogoo si watapiga nyingi
  8. D

    Makombe yajayo ya EPL bado yapo mikononi mwa Guardiola

    Huyo pep anatakiwa apambane kuchukua UEFA kuhusu EPL hiyo naona klop anamachungu nayo sana msimu huu
  9. D

    Kwa matokeo haya ya man city, tuwaache tu liverpool

    Naona mpinzani wa liver kileleni atakuwa asernal anapanda kwa kas
  10. D

    UTV - Liverpool Vs Leicester

    Labda wanatafsiri
  11. D

    Makocha wa muda ( Interim Managers ) kama Ole Gunnar Solskjaer wasipewe mikataba ya kudumu

    Apewe muda hata wa misimu miwil ..........tumu kama hiyo mashetani hata akipewa malaika haiwezi
Back
Top Bottom