HUU MKOPO ALIPEWA KWA KIGEZO GANI
Je mkopo wake ulikuwa wa daraja gani?
kama mtoto wa waziri alipewa mkopo, kwa nini basi tuwanyanyase watoto wa walala hoi kwa kuwanyima mikopo.
HIVI VIIGIZO TUTAACHA LINI?
Mara kalisha watu sambusa
mara mke kulazwa hospitali ya umma kuwa stori kubwa wakati...
DR MWAKYEMBE eti anadai kuwa JAKAYA ni muadilifu sana, lakini anajichanganya eti siku nchi hii ikipata kiongozi muadilifu watafufua kesi. Tumia akili ndogo tu utafahamu kuwa hadithi zake ni uzushi tupu. LOWASSA alipokuwa anajiuzuru alisema wazi kuwa tatizo ni UWAZIRI MKUU, kwa kauli hii tu...
UFISADI NA RUSHWA ULIOSHINDIKANA NA CCM SASA BASI Kina polepole waseme watakavyo hawawezi kutubadili mawazo eti kisa mmepewa vijisenti.
TUTACHAGUA UKAWA HATA KAMA WATALISIMAMISHA JIWE.
Tumechoka na wasomi wachumia tumbo. ITS TIME FOR CHANGE CCM lazima ing'oke.
Jana katika stori na rafiki yangu, alikuwa akilalamika eti.
Kila wazo ninalotoa wanaseme hata siyo bure huyu CHADEMA/UKAWA.
Wanafunzi wanachangishwa madawati kila mmoja 80,000/= lakini hayanunuliwi ukishauri basi kila mtoto aje na dawati badala ya fedha utasikia ah huyu CHADEMA.
Maabara...
Kwa muda mrefu nimetafakari sana kuhusu UFISADI hapa nchini kuanzia ngazi za chini hadi za kitaifa. ufisadi wa kuiba fedha za maabala, barabara, dawa hadi ule wa ESCROW, EPA nk.
WATOTO wa vigogo wamekuwa matajiri wakubwa ktk umri mdogo, UTAJIRI usiolingana na vipato vyao kwa watendaji...
CCM na mpambe wake ACT wanataka kuwaingiza UKAWA kwenye kitanzi, huu sio wakati wa kumpatia mwanachama yeyote mpya nafasi ya kugombea URAIS. UKAWA wanachama wapya wakae kwanza kwenye chama kwa muda fulani kabla hawajaruhusiwa kugombea uongozi kupitia chama husika
UKAWA MTAKAPOTULETEA MGOMBEA WA URAIS MTUELEZE NA JINSI MTAKAVYOGAWANA WIZARA NA SEKTA ZOTE MUHIMU
1) Rais na makamu..............................
2) waziri mkuu.......................................
3) Mwanasheria mkuu.........................
4) Waziri/naibu wa fedha...
Ninawapongeza CCM kwq kiini macho hichi, mafisadi wako salama chini ya Mwalimu J P Magufuri.
Kutokana na uwelewa mdogo wa watanzania wengi ni rahisi sana kuwateka akili zao kwa kuficha uchafu wa ccm kwa kivuli cha Mwl. J. P. MAGUFULI
Mfumo wa kifisadi ulivyo ndani ya ccm hata kama rais...
Mh Kafurila:
"Natamani BUNGE lijalo liwe na idadi inayowiana kati ya chama tawala na upinzani hata kama chama tawala kitatokana na ukawa".
Kwanza nakubaliana na wote wenye mtazamo kama huo, kwa hali ya nchi yetu kwa sasa taasisi ya RAIS imeshindwa kusimamia nchi yetu kwa vile ama imewekwa kwa...
Asante sana Naibu Spika, naomba
nitoe maelezo binafsi jana tarehe 25
June 2015, Mbunge Martha Mlata
alidai kuwa kuna Mbunge wa
CHADEMA amempora mwanamke
mmoja mtoto mdogo wa miaka miwili
na amempora wakati Mbunge huyo
amekuwa hatoi matunzo kwa mama
yake Mlata aliwataka Wabunge wote...
Tanzania BRN VS Malayasia BFR
FAIL - PASS
BFR ni mpango wa serikali ya Malayasia wa matokeo makubwa ya haraka uliowekwa ili kuwezesha kauli mbiu ya Waziri mkuu Dato' Sri Mohd Najib Bin Tun Haji Abdul Razak ya "WATU KWANZA, UTENDAJI SASA"
VIPAUMBELE VYA...
Nadhani watu tunachanganya kati ya kazi ya mbunge na serikali; serikali ndio yenye pesa, mbunge ni mwakilishi wa wananchi kazi yake ni kuisimamia serikali kwa kusema nini wananchi wake wanataka au kusema pale serikali inapokosea nk.
KAZI ZA MBUNGE
1) Kuwawakilisha wananchi
2) Kutunga sheria
3) Kuisimamia Serikali
MBUNGE WAKO AMEFANYA HIVYO
Mimi kwangu Morogoro mjini. Wana morogoro tujiulize je ABOOD ametuwakilisha vizuri BUNGENI na kwenye vikao vya MADIWANI kwa kuchangia kutunga sheria nzuri zitakazotetea maslahi...
Tunahitaji Usimamizi mzuri wa uwekezaji ili tuweze kuzalisha bidhaa zetu wenyewe badala ya kila kitu kuagiza nje ya nchi. kutasaidia kuimalisha thamani ya shilingi yetu. Tuache kuwa tegemezi wa fikra na mali, tuboresha teknolojia, utafiti na uzalishaji wetu wa ndani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.