Nahisi kila eneo leo wanatambua kama watu wa vua Gamba wapo mjini Dar! Muhimu ni sisi wote kujitokeza kwa wingi na kuonyesha mshikamano wetu bila kujali umri na jinsia...Hebu tujitokeze!!!!!!!!!!
Mh!Mdee...imani yetu iko kwako pia hasa katika kuikumbusha Mamlaka husika,kwa uwajibikaji kwa viongozi juu ya umma...ili sheria itende haki kwa kila raia.
By!dondezel
Mh Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma Kaskazini anasema "Nimekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Nancy Pelosi na Mbunge Dennis Kucinich"
Kiongozi! Wapenda maendeleo tuko nyuma yako, hasa katika jinsi ya kulikomboa hili taifa ambalo linaekea kudarora...ndio...
Hii, Malemo!Bila shaka hiki ndicho chama pekee kilichobakia na imani kwa wananchi wa Tanzania na si vinginevyo kwani kauli za Chadema na matendo yao yako sambamba. ni tofauti na jinsi ambavyo magamba wasemavyo na jinsi wanavyotenda ni tofauti kabisa, we should praise Peoplees power foreverrrrr
Kwahiyo Dr.Kafumu anaogopa kufomuliwa na mwl. Kashindye! awe mpole tu kwani inawezekana hiyo ni janja ya nyani ili atuzuge na baadae matokeo yawe ya kushangaza.
Muhimu ni kumwangalia huyu Shibuda then aachwe tu.mwenyewe ataacha viongozi wa Chadema wana mambo mengi sana ya kujadili sio hili la Shibuda huyu anafahamika kuwa aliletwa hapa na Magamba ili alete uchochezi...Naona ameshindwa ndio maana anataka sasa kulazimisha MAGAMBA MATATU!!!!
Uliyosema kuhusu kuchukua nchi mwaka 2015, hilo hakuna kupingika ilimuradi tujipange tayari kwa ushindi huo, muhimu ni jinsi gani tutaendelea kuelimisha kundi kubwa la watu ambao hawaamini kuwa hilo linaweza kutokea kama vile Zambia na nchi zingine.......Bravoooooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.