Recent content by DONARD MUSIMU

  1. D

    JamiiForums Tanzania Bashe: Rais hataki utani, amedhamiria kuleta mapinduzi ya kilimo kupitia umwagiliaji

    Mh.Bashe,tunaomba wakulima wadogo wadogo wakopeshwe power tiller ndogo za gharama nafauu zinazoweza kulima ,kupanda ,kupililia na kuweka mbolea .zipo zinabei nafuu sana
  2. D

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Kapinga: Bado Vijiji 151 tu Nchi nzima kufikiwa na umeme

    Ukienda kuomba unaambiwa mitaa mingine wasubiri mradi mwingi phase 1 imeisha kama unataka zaidi ya mita 30 ujigharimie nguo wewe mwenyewe
  3. D

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba utaratibu wa kuunganishwa umeme vijijini nipo km 1 toka ulipoishia center ya kijiji kasela D urambo
  4. D

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Kapinga: Bado Vijiji 151 tu Nchi nzima kufikiwa na umeme

    Mbona hawatangazi? Mameneja wa wilaya wanajua? Mbona hawatangazi? Wananchi wakienda kuomba wanaambiwa mwisho mita 30 kutaokq kwenye nguzo uanlipia 27,000 ikizidi hapo unatozwa nguzo zinazozidi Kwa namna hii umeme watu watausikia tu vijijini. Watangazie wananchi kama watashindwa kuunganisha.leo...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri Kapinga: Bado Vijiji 151 tu Nchi nzima kufikiwa na umeme

    Lakini shida moja umeme unaweza kufika shuleni tu na nyumba labda 3 tu,issue wananchi wengine kuupata ni lazima wanunue nguzo kwahiyo wanashindwa kuupata badala yake unabaki shuleni tu au hospitali. Tanesco waje na mpango wa kukopesha kuunganishia wanakijiji na watakuwa wanawakata Kadri...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Toyota Brevis na matunzo yake karibuni wajuvi kutoa ushauri

    Injini oil inakula Lita 6 unaona rpm inakuwa kwenye 5.pia transmission oil uweke original ji lita4 ,utapenda kuovatake kila gari piga Tanzania yote huchoki
  7. D

    JamiiForums Tanzania Toyota Brevis na matunzo yake karibuni wajuvi kutoa ushauri

    Kama ina ingine ya 1jz D4 ni gari nxuri mimi ninayo inakula 13.5km mjini na high 15km per liter ,ila uwe na plug originally, air filter mpya,na mafuta mazuri,pia uweke oil inayotakiwa kwa injini hiyo 10w- 30 .inakimbia vizuri pia life span ya injini ni km 500,000
  8. D

    JamiiForums Tanzania Tanesco kulipisha nguzo ya umeme Tshs 27,000/- ni kweli au mbwembwe?

    Ni kweli mimi wameshanifungia nguzo 4 kwa 27000 tu
  9. D

    JamiiForums Tanzania Kinachoendelea Tanesco Mwanza ni kipimo cha Serikali kufeli

    Napenda kutoa shukrani kwa mh.Kalemani,Meneja wa mkoa Tabora na Meneja wilaya ya Urambo kwa kufanikisha kutoa Bill za control number ili wateja waweze kulipia kuunganishwa na umeme wa 27,000 kwa wote bila kujali ni nguzo ngapi au umbali gani kwenda kwa mteja.leo hii nimeweza kupata...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Bei mpya ya Bia inaanza lini rasmi?

    Kwani bei ya 27,000 imeshaanza? Hizo ni ngonjera za bungeni tu utekelezaji wake haupo.mpaka sasa Waulize Tanesco wamekwama wapi? Wanasema system ya kulipia control number bado haijerekebishwa ni mwezi sasa hawapokei bei mpya wala ya zamani wamesimama wakisubiri system ijirekebishe yenyewe
  11. D

    JamiiForums Tanzania Umeme ni siasa au siasa ni umeme kwa Tanzania

    Tangu watangaze hiyo bei IT wa tanesco wamesoma kubadilisha system inasema kama zamani kwahiyo Wana mwezi sasa hawaunganishishi wateja walio zaidi ya mita 30.kwahiyo waziri kudanganya au alikuwa anataka kupitishwa baget yake.hata wabunge hakuna anayehoji mpaka sasa wametulia kimyaaq
  12. D

    JamiiForums Tanzania Nyakato, Mwanza: Wananchi walalamika kuzidiwa kwa TANESCO

    Huku nako Tabora Urambo ni matatizo kama hayo suveryor kanipimia tangu tarehe 11 june 2021 lakini anasema bado hawajapewa ruhusa kutoa control number kwa 27,000 sasa sijui tatizo eti mameneja hawajapewa kuendelea eti walihoji waraka uliotolewa tarehe 4 June 2021 na MD haufafanui ni mteja wa...
  13. D

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Fafanua kufikiwa na miundo mbinu ni mwisho mita ngapi? Hapo hujafafanua, mteja ni yupi ambaye amefikiwa na miundo mbinu ? Ni mita ngapi kutoka kwenye miundo mbinu ndiyo yumo kwenye huo mradi wa 27,000? Ambao wako nje ya miundo mbinu ni kuanzia mita ngapi kutoka kwenye nguzo? Hapo fafanua please
  14. D

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mbona mimi surveyor alikuja kwangu tarehe 11 june 2021akapima ikapatikana mita 76 kutoka kwenye miundo mbinu lakini kakatazwa na Meneja kuwa utaratibu bado au mita 76 iko nje ya miundo mbinu? Hata kupewa Bill tu imeshindikana kuwa wanasubiri utaratibu au waraka wa kunipa Bill ili nilipe ...
Back
Top Bottom