Ndugu yangu nchi hii ni kubwa sana na wabunge ni wachache ndo maana wengine wanaweza kulala kwenye session bila kupigiwa kelele. Tunahitaji wabunge zaidi ili kufikisha uwiano wa wabunge wa Zanzibar yaani kila mbunge awe na watu elfu nane hivi nyuma yake. KUTACHIMBIKA
Hivi watu wa Igunga wanamatatizo vichwani? Nahakika yuko kwenye JM mtu kutoka huko. Vipi huyu ndugu Rostam amefanya ubunge mali yake. ikifika 2015 atakuwa amefikisha miaka 21 bungeni? What do you have there? Maji hayakatiki, Umeme haukatiki? Chakula kipo hamfii njaa? Ameoa Mtoto wenu? Watoto...
Kinacho nisikitisha mimi ni CCM kujiingiza kwenye matatizo ya upinzani. Chadema wasingeweza Kudeliver kama wangekuwa wao tu. Sasa CCM imewapa mpini wa kusema sisi tulikuwa tumebanwa na CCM,CUF,NCCR na TLP tulichaguliwa watu. Jamani hamuoni kwamba 2015 chama kitapoteza zaidi? Naogopa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.