Wewe wasema, CCM imeleta maendeleo katika kila maeneo: Elimu, afya, usafiri, viwanda, uvuvi, madini, amani na maeneo mengine. Usione vyaelea vimeundwa. Viongozi wa Serikali ambayo iko chini ya CCM wana uzalendo na taifa hili.
Tundu Lissu anashindwa kujidhatiti katika hoja, amekuwa akishambulia ajenda ambazo sio sera. Anaendelea kupoteza idadi wa wapiga kura wachache aliokuwa nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.