Habari wadau, naomba kuuliza kwa wanajua mtu akihitaji shamba la miti ya mbao lililolimwa tayari lenye miaka kuanzia miwili au mitatu anaweza akapata kwa shilingi ngapi?
Your link was much helpfulness. Kwa kiasi kikubwa imezungumzia UV environment na heredity by birth. Ila imejikita zaidi kwenye mazingira referring to exposure to sun light and that means Africa tuko exposed zaidi na sunlight. If so what makes Arabic countries eg Egypt and Morocco kuwa weupe...
Kwaiyo tulikuwa wazungu kwanza kisha ndio tukawa weusi kwa sababu hizo ulizotaja au wazungu ndio walianza kuwa weusi kisha evolution ikawafanya wawe weupe?
Habari wadau. Mimi ni mwanachama mpya humu. Nina jambo ambalo limekuwa likinichanganya kwa siku nyingi. Kwa mwenye uelewa japo kidogo ninaomba kufahamishwa.
Wadau ni kwa nini duniani kuna watu weusi (black people) mostly Africans na white people? Ilikuwaje kukawa na matabaka haya ya weusi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.