Recent content by don xxx

  1. D

    JamiiForums Tanzania Bunge lasema halijapokea barua ya Nyalandu kujiuzulu, lamvua ubunge kutokana na CCM kumfukuza uanachama

    Elimu ,Elimu ,Elimu...Kwa mujibu wa sheria barua ikiwekwa tu /ikipostiwa tu kwa anuani sahihi ya mpelekewa mara hiyo hiyo inahesabika barua imeshamfikia mlengwa. Kuchelewa kwa messenger au mpokea barua kwenda posta kuchukua barua hakufanyi barua hiyo iwe haijamfikia mlengwa. Barua yoyote...
  2. D

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amemteua Profesa Florens Luoga kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT)

    Bravo Prof. Makinyika Luoga. Mzee nadhani ndio mwisho wa kujipumzisha UDASA.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Tulitishwa kwamba eti Barrick ina vigogo wakubwa kutoka Marekani na Kanada

    Hivi $300m ni sawa na $190b nauliza tu ?
  4. D

    JamiiForums Tanzania Acha kujipotosha na kujisifu, ukweli ni huu hapa

    Dear St. Michael pray for us
  5. D

    JamiiForums Tanzania Jerry Muro: Utoto huu wa mbunge Nassari na Lema, Watanzania tuwe wakali. Tutapoteza taifa

    Hivi huo uzalendo unaosemwa na Jery ni upi huo? Huu wa kutafuta madaraka na kujipendekeza at the expense ya wengine au!!!!?
  6. D

    JamiiForums Tanzania Nimempangia nyumba Ex wangu yeye na jamaa yake

    Umetenda vyema ,Mungu atakuongezea zaidi
  7. D

    JamiiForums Tanzania Ushuhuda wa kweli wa kilichonipata

    Amina
  8. D

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli hafikii hata robo ya uzalendo wa Tundu Lissu

    Viva Lissu
  9. D

    JamiiForums Tanzania Mh Magufuli: I will deal with them; wala siwatishi

    Duu!
  10. D

    JamiiForums Tanzania NYARAKA: Wizara ya Madini iliidhinisha thamani ya Almasi ya Sh. Bilioni 14 kama thamani ya awali kusubiri mnada Ubelgiji

    Na bado. Tuombe Mungu aingilie kati ili hatma ya nchi yetu iwe salama
  11. D

    JamiiForums Tanzania Katika kipindi hiki cha majonzi kutokana na tukio lililompata Lissu tunapaswa kuungana kwa pamoja

    Mungu tunusuru kwa huruma yako takatifu
  12. D

    JamiiForums Tanzania Katika kipindi hiki cha majonzi kutokana na tukio lililompata Lissu tunapaswa kuungana kwa pamoja

    Mungu mwingi wa rehema ameshasikia sala zetu. Tundu Lissu atakuwa sawa kabisa kwa nguvu na uwezo wa Yesu Kristu mwana wa Mungu aliye hai, anayetawala mbingu na nchi. Amina
  13. D

    JamiiForums Tanzania Leo matukio yamenirudisha nyuma kidogo

    Mungu mbariki Tundu Lissu
  14. D

    JamiiForums Tanzania Mmiliki wa gari ambalo Lissu alilitaja kwa kutumia plate number zake amewahi kulalamika?

    Akili ndogo utaijua tu. Sasa afungue kesi gani ? Kufuatiliwa na gari? Sio kila uzi unatakiwa kuujibu hata kama umekukwaza basi pinga kwa hoja zenye mashiko.
Back
Top Bottom