Recent content by Don R

  1. D

    Msaada wa mawazo kwenye hili biashara

    mcheki jamaa mmoja hv anaitwa zanzibar spices hkuhku jf kwenye nyuz za bodaboda
  2. D

    Mashine ya juisi ya miwa inauzwa

    kwa cku ulikua unapiga shingap
  3. D

    Natafuta eneo zuri la biashara ya chips

    wadau nlikua natafuta eneo zuri hv la biashara ya chips ambayo isiwe ya bei ghali saana kama chini ya laki moja hv ambayo local local ila kuna wateja weng na lamechangamka maana nmesumbuka sana kutafta na kama ni town sana juu ya 100k hko ckuwez naomben mnijuze sehem ya kawaida tu yenye kulipa...
  4. D

    Nahitaji Block mixer mashine

    nenda maeneo ya makongo kuna hardware za hatar zpo nyng hzo nmeziona
  5. D

    Jua Kuhusu Vitu unavyoweza kusoma Chuo Kikuu kutokana na ufaulu wako

    masomo bdo sna mpka mwez wa 12 trh 14 ndo mtaanza sshv kulen bata tu
  6. D

    MSAADA WADAU

    samahann wana jf hv bsc of information management ni nzur kwa kusoma na ajira zke ni zpi ? na inalipa vzur?
  7. D

    Nianzishe biashara gani ili niweze kujikimu?

    Habarini wana JF Mimi ni kijana wa miaka 20. Nilimaliza form 6 mwaka huu combination ya PCB nikapata div II. Ni kwamba hali yangu imekuwa ngumu mno hasa ktk kipindi hiki cha chuo kwa sababu mzee wangu binafsi ana uwezo wake mzuri tu wa kunisomesha hata miaka kumi sema alikataa kunisomesha na...
  8. D

    Majina ya waliochaguliwa vyuo vikuu 2018/2019:

    mbna first mna mawenge unaenda sku yyte we uamue sio high xcul hko mdgo wng
  9. D

    Napendwa na mke wa mtu mpaka naumia moyo

    hii chai tamu mno[emoji2] [emoji2]
  10. D

    tuokoeni wadau atuelew

    naenda kutafta rizki ndugu yng we c ushatoka sshv broo unakula shavu tu kwa7bab unajitambua ?
  11. D

    tuokoeni wadau atuelew

    ndyo ila ss kuna vyuo nliomba kama ardhi maswala ya archtrcture ndo nlokua nataka ss nashangaa wamenpangia hyo coz apo ss ndo maana nkauliza tu kwa uzur na sio kwmba nlikua cna ndoto ni imetokea tu kutokana na mfumo wetu wa kielimu nchini kwahy lengo lng imenbid tu nihame mwelekeo ndo maana...
  12. D

    tuokoeni wadau atuelew

    ila ndo nkawa nna waswaa nayo
  13. D

    tuokoeni wadau atuelew

    ndo wamenpangia nsomee hyo cozi broo
Back
Top Bottom