wadau nlikua natafuta eneo zuri hv la biashara ya chips ambayo isiwe ya bei ghali saana kama chini ya laki moja hv ambayo local local ila kuna wateja weng na lamechangamka maana nmesumbuka sana kutafta
na kama ni town sana juu ya 100k hko ckuwez naomben mnijuze sehem ya kawaida tu yenye kulipa...
Habarini wana JF
Mimi ni kijana wa miaka 20. Nilimaliza form 6 mwaka huu combination ya PCB nikapata div II. Ni kwamba hali yangu imekuwa ngumu mno hasa ktk kipindi hiki cha chuo kwa sababu mzee wangu binafsi ana uwezo wake mzuri tu wa kunisomesha hata miaka kumi sema alikataa kunisomesha na...
ndyo ila ss kuna vyuo nliomba kama ardhi maswala ya archtrcture ndo nlokua nataka ss nashangaa wamenpangia hyo coz apo ss ndo maana nkauliza tu kwa uzur na sio kwmba nlikua cna ndoto ni imetokea tu kutokana na mfumo wetu wa kielimu nchini
kwahy lengo lng imenbid tu nihame mwelekeo ndo maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.