kipengele cha sita kwa wale wa 2016 kabla ya uhakiki unatakiwa upate barua kutoka kwa mkurugenzi unapohamia inayothibitisha nafasi yako bado ipo na nyingine kutoka kwa mkurugenzi wako inayothibitisha kua bado anakuruhusu kuhama na ya tatu wewe uandike kua unajicommit kuhama kwa garama zako...
Habari zenu wadau? Huo warAKa ni wa kwelii. Hata mimi nilipewa hayo maelekezo na mtumishi wa tamisemi anaedeal na uhamisho. Tuma nakala ya nyaraka zote zinazoverfy uhamisho. Ukishatuma tu ni fasta unahamishwa ndo maana watu wanahamishwa kimya kimya wala hawaweki mabango.
High Yoga! Nashukuru kwa ukaribu wako kutupa updates za uhamisho. Mimi niliomba wa kuhama nje ya mkoa na nilikamilisha taratibu zote. Ilibaki kutangazwa tu ukastopishwa. Naomba utupe updates kwa sisi tunaotazamia kuhama nje ya mkoa inakuaje? Asante.
Kwakweli inatuvunja moyo na inatuchosha sana maana mipango ya wengi imevurugika. Ukizingatia maisha ya watumishi ni magumu na kupata uhamisho kuna punguza garama za maisha kwa mtumishi na kuongeza ufanisi wa kazi. Uhakiki wameshafanya hebu watuache basi tuhame tuendelee kujenga taifa. Modali wa...
Tuachane na hiyo virus ya baypot...
Sasa uhakiki umepita niliskia uhamisho ni july. Vip kuna mdau mwenye update yoyote kwa wale wanaofahamiana na wahusika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.