Recent content by Don Erics

  1. Don Erics

    Meya wa Kinondoni atangaza kupotea kwa Diwani wa Kawe ambaye inasemekana amefichwa

    Wameshaanza kufichana sjui hawatak mwenzao ahesabiwe. Jesh la polisi lifanye kazi yake kama kawaida....
  2. Don Erics

    Karani: Ongezeko la mshahara(23.3%) litaniwezesha kumjengea baba yangu nyumba na kumnunulia gari. Bulembo asema mishahara haikuongezwa miaka 6

    Mama kaupiga mwing japo tukienda kimahesabu n kama kuliwa elfu Hamsini kweny michezo ya kubahatisha alaf ukaja ukashinda elf arobaini baadae,. Lazma utashangilia saana. Bighaa ziko juu, nauli zinapanda na vitu vngne vingi tu, alichofanya mama n ksaidia kulipa asilimia fulan ya tozo. Ongezeko...
  3. Don Erics

    Tundu Lissu kulihutubia taifa Desemba 31, Watanzania tuwe tayari kumsikiliza

    Wanakaribia kufika japo wako moto saana
  4. Don Erics

    Hili la Magufuli kuwa mfano wa kiutawala hapa Tanzania linanishangaza!

    Kama kuna mtu hafai kuigwa basi ni mama, baba alikufundisha kuishi kiume. Sasa hivi mama anatukanwa hadharani na hakuna anachofanya afu unasema anafaaa Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  5. Don Erics

    Hili la Magufuli kuwa mfano wa kiutawala hapa Tanzania linanishangaza!

    Mkuu umendika ni kama ulikuwa unabifu na jpm Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  6. Don Erics

    Hili la Magufuli kuwa mfano wa kiutawala hapa Tanzania linanishangaza!

    Kwani ni kitu gan ambacho mama amekopi kutoka kwa magu, hakuna tofauti na kwenda kinyume. Hii inaonyesha ni namna gan kikulacho ki nguoni mwako na ni kunguni Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  7. Don Erics

    Hivi kumpigia simu Ex wako ni kosa?

    Kwan ulimkuta no bikra? Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  8. Don Erics

    Hivi kumpigia simu Ex wako ni kosa?

    Swala sio kupigiwa, kesi ntaifungua wakitaka kurudisha uhusiano Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  9. Don Erics

    Sakata la kanisa linalopiga muziki kutwa kucha Tabora labainika kutokuwa na kibali, lapewa notisi. Kigogo wa Wilayani ahongwa ahaha kulifungulia

    Sababu ya sauti kuwa kubwa si ndio hio, pangekuwa pamejengwa vizuri unadhan hao majiran wangelalamika kelele, , , , , Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  10. Don Erics

    Uliwezaje kutongoza kwa mara ya kwanza?

    Nlitumia njia ya barua lakn bado kweny kumpa ikawa kasheshe. Kila nkimuona nahisi kuna neno litamkera naamua kuirarua naenda hom kupanga mashambulizi upya Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  11. Don Erics

    Hakuna jamii iliyolala Tanzania kama watu wa kusini

    Em ona tu kila kiongoz anavyo ng'ang'ana kujenga kwao, lakini kwa mwalim pako ovyo. Pengine ni nature yetu sio kwamba tumelala Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  12. Don Erics

    Job Ndugai: Ipo siku Tanzania itapigwa mnada, Watu tukishakopa tunapiga makofi kujipongeza. Deni la Taifa ni 70 Trilioni

    Lakini angesubiri angalau ifike ata 2023, wabongo tunashda ya kujisahaulisha Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  13. Don Erics

    Hivi unaishi vipi na mwanaume miaka 2 bila ndoa?

    Kumbe shda ni pete ili ukawaringishie wenzako kuliko kuthamini uwepo wake kwako,.mmmh! Hatar saana Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
  14. Don Erics

    Ujerumani yamwaga zaidi ya bilioni mbili kwa Tanzania kwa ajili ya mapambano dhidi ya Corona

    Tanzania yetu bwana, magumashi ya kutosha yani kama vile tumekatwa vichwa, Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom