Recent content by Don Dacxh

  1. Don Dacxh

    Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

    Nani asiye mjua Lugumi labda wewe na vijana wadogo waliona video yake jana yule jamaa zile gari mara yake ya kwanza kuzi post juzi na sio kama hana social media akaunt wala hana ma star ambao ana socialize nao je Kati ya Lugumi na Sir wicknell nani ana showoff yule yote kwa yote sio vyema...
  2. Don Dacxh

    Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

    Leo ndio nimekutana na hii ile juzi baada ya kupostiwa ile video na ku view watu wengi niliwaambia hapa baadhi ya watu maneno kama haya uliyoandika mkuu jinsi tu Lugumi alivyokuwa anamuita jina na kucheka pia kumwambia twende huku ukaone magari kwa mtu mwenye akili timamu na kama unajua uswahili...
  3. Don Dacxh

    Ushindani Mdogo, Faida Kubwa: Mwongozo wa Biashara kwa Wenye Mtaji Tanzania!

    Habari wana JF, sitotaka kufanya uzi huu uwe mrefu sana; najaribu kufupisha ili nisikuchoshe wewe utakaechukua muda wako kusoma. Hakuna biashara utakayoanza leo ambayo haijawahi kufanywa; naamini hilo linahusu sekta zote. Swali muhimu ni, umejiandaa vipi kushindana na wale walioanza mapema? Ni...
  4. Don Dacxh

    Hodii

    Wewe yako umeweza kuyafatilia ila sawa karibu lakini
  5. Don Dacxh

    Mtaji milioni 25 - 30

    Wote wameongelea kukopesha kweli nakubaliana nao kwa yote ila kuna staili ya kukopesha siwezi kuitaja humu mana siku hizi ujuzi ni hadhina na huutoi bure bure tu kama hutojali nicheki hapo whatsapp +905428522770 sipo nchini natagemea kurudi mwezi ujao
  6. Don Dacxh

    Ushauri: Kumpa hela mama mkwe wako wa zamani ni sawa au niache kabisa kujipendekeza?

    Daah mi sijui nikujibuje ila kiufupi mimi nina ex wangu tangu tuachane ni miaka mi 7 sasa japo bado ajafuta tatoo yangu na kashaolewa lakini yeye hachoki kumletea zawadi mama yangu kila atakapo pata nafasi pia hata mimi nikipataga shida yeyote huwa hachoki kinisaidia na kunishauri huwa analivaa...
  7. Don Dacxh

    Ushauri: Kumpa hela mama mkwe wako wa zamani ni sawa au niache kabisa kujipendekeza?

    Ila kipanga samahani nikulize kitu sawa mimi sio babako , mamako wala bibiako ila humu jamii forums unatengeneza sh. Ngapi na mimi nipate ndugu yako mana kutwa kucha kila mada itakayowekwa humuu jamii forums kipanga haikupiti?
  8. Don Dacxh

    Nimepata mchumba bikra, anafaa kwa ndoa?

    Angalia vizuri kuna sehem nimeandila story fupi ya maisha yangu jibu utalipata hapo
  9. Don Dacxh

    Nimepata mchumba bikra, anafaa kwa ndoa?

    Wanasemaga shortcut ni long cut hio sio shida ya sasa hiyo ni shida ya baadae kama unabisha muulize professa jay kwenye Nikusaidiaje
  10. Don Dacxh

    Hii imekaaje kwa wafanyabiashara wa ndani kwenye biashara ya mazao?

    Sikatai lakini sio socialism kama aliyozumza comrade hapo juu ya watu kujingilia vijijini na kufanya trade au export yeyote haswa kutoka nchi sio yako mwenye akili na aliekua anajua kuweka mipaka kama iyo tumesha mzika
  11. Don Dacxh

    Hii imekaaje kwa wafanyabiashara wa ndani kwenye biashara ya mazao?

    Unadhani socialism ya wachina imejengwa kiholela holela kama hivo alaivyosema ndugu yetu wachina socialism yao wamejenga wao kwa wao na kama ujamaa basi ni ujamaa wenye mipaka toa screenshot hiyo mana umekurupuka tu kuweka bila kujua aina gani za socialism wenzenu wamefanya kufanikiwa yani wewe...
Back
Top Bottom