Sawa,sababu ya mimi kuwa serious kutafuta jibu la hili swali ni kwamba naogopa kucross bila ya kujua hint ya matokeo...kwasababu pia time inaenda so nikipata jibu la uhakika kuwa watakuwa kuku wazuri then nacross direct nusu ya kuku ambao ni nao...na kama itaonyesha kuku wataopatikana baada ga...
Ahhh ok...lakini wat happens ukicross..!?kutakuwa na shida yoyote???
Kwasababu aim yangu ni kupata kuku mwenye sifa za kuroiler kama kutaga vizuri na kuwa haraka na pia kulalia mayai..!
Mambo vp wadau.
Naomba mnifahamishe,nimejaribu kutafuta jibu kwa internet na kuuliza baadhi ya watu lakini sijapata jibu...swali langu NI SAWA KUCROSS KUROILER CHICKEN NA KUKU WA KIENYEJI,kwamba hao vifaranga watakaototolewa wayakuwa na uweza wa kulalia mayai kama kenyeji na lia wawe na sifa za...
Hongera for the big step......mimi nimeanza na strawberries kidogo nilizopewa na rafiki arusha,in sha allah mwezi huu nitapanda mbegu zaidi kwenye ka bustani kangu kadogo [emoji23] mbegu nimeshazipata.
Wenye info zaidi karibuni!
Pia kwa wanaohitaji mbegu wanicheki(seeds) not seedlings
Habarini wana JF
Kama heading inavyoeleweka,nauza dcp kwa viwanda vya kutengenezea vyakula vya wanyama hasa kwa wanaotengeneza chakula cha kuku,
Kwa wasioifahamu ni compounds ambazo zina msaidia mnyama kama kuku kukua kwa haraka na afya na pia kutaga mayai kwa wingi na kwa kama ngombe...
Habari zenu wana JF.
Naombeni msaada kutoka kwenu...nahitaji kufahamu kama arusha kuna market nzuri ya mapapai na pia mikoa mingine tanzania....nipo kwenye research stage kwa sasa
Asanteni na karibuni.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.