Recent content by Dominick Mariki

  1. D

    JamiiForums Tanzania Verossa

    Mmmhh... Verossa. Tuwe angalau na hofu ya Mungu, tutaweza salimika kwenye majanga kama haya.
  2. D

    JamiiForums Tanzania LL.B 1st class holder

    Nilitaka nimsupport jamaa, lakini hizi comment naona zina ukweli ndani yake. DUCE wametangaza nafasi za tuitorial assistant, assistant lecturers na lecturers, jaribu kuomba. Wenye first class kazi zinawatafuta, sio hao wanatafuta kazi. Mi nahisi unataka kusikia watu wanacomment nini juu ya hilo!!
  3. D

    JamiiForums Tanzania Binti akimtambulisha mchumba wake kwa baba yake

    Dah, hii nimeipenda, tuko kwenye kizazi cha mtandao, vijana tuwe macho!
  4. D

    JamiiForums Tanzania Re: Vichekesho nane vya nguvu. Enjoy...

    Ngoja nicheke nirefushe maisha.. hahahahaaaa.................
  5. D

    JamiiForums Tanzania Hivi itakuwaje shetani akiokoka?

    Nahisi ndio utakuwa mwisho wa hii dunia ya maovu.
  6. D

    JamiiForums Tanzania Sifa za Wanawake kutoka Sehemu mbalimbali Tanzania

    Mmh kama vile kuna ukweli ndani yake.
Back
Top Bottom