Recent content by Dominick Mariki

  1. D

    Verossa

    Mmmhh... Verossa. Tuwe angalau na hofu ya Mungu, tutaweza salimika kwenye majanga kama haya.
  2. D

    LL.B 1st class holder

    Nilitaka nimsupport jamaa, lakini hizi comment naona zina ukweli ndani yake. DUCE wametangaza nafasi za tuitorial assistant, assistant lecturers na lecturers, jaribu kuomba. Wenye first class kazi zinawatafuta, sio hao wanatafuta kazi. Mi nahisi unataka kusikia watu wanacomment nini juu ya hilo!!
  3. D

    Binti akimtambulisha mchumba wake kwa baba yake

    Dah, hii nimeipenda, tuko kwenye kizazi cha mtandao, vijana tuwe macho!
  4. D

    Re: Vichekesho nane vya nguvu. Enjoy...

    Ngoja nicheke nirefushe maisha.. hahahahaaaa.................
  5. D

    Hivi itakuwaje shetani akiokoka?

    Nahisi ndio utakuwa mwisho wa hii dunia ya maovu.
  6. D

    Sifa za Wanawake kutoka Sehemu mbalimbali Tanzania

    Mmh kama vile kuna ukweli ndani yake.
Back
Top Bottom