Watu wanazungumzia umuhimu wa vyama vya upinzani we we unazungumzia ofisi za chama. Haya basi ccm wanazo ofisi nzuri zina saidia mini mwananchi wa hari ya chini?. Hacha ujinga jadili mada.
Sema yote rakini lazima tupige kura majina yawepo yasiwepo ilimradi Nina kitambulisho mambo ya jina haripo sio Kazi yangu walinipa kitamburisho cha nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.