Habari wana Jf . naomba msaada wenu wakunijuza taratibu/ngazi za jinsi yakupata kibali chakuchoma nakuuza mkaa wa mti poli ..
Ninasafisha shamba langu eka 30 .. Je ni swala linalowezekana??
Habari wanaJF,
Nimepanda viazi hekta 3 na nimevipandia samadi yanguruwe.
Kwajinsi vyuma vilivyo kaza sina mpango wakukuzia zaid yakupiga dawa nakupalia tu.
Naomba msaada wakitalamu ntafanikiwa malengo yakutoa magunia yakutsha au itkula kwangu hata nisiludshe hela ya mbegu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.