...........
Mtoa mada UME-PANIC, Kipindi cha TEGA NIKUTEGE ni kipindi cha mchezo wa karata, kipindi hiki kinawakutanisha vijana wa kiume na wa kike ambapo Binti huchagua kijana wa kwenda nae DATE kwa siku watakayochagua wao. Au MTOA mada haufaham maana ya DATE???????
Dating is a part of...
Au aliyeshinda mmemnunua tayari?? au alikuwa kundi lenu before?? naamini chadema wako makini zaidi ya tunavyofikiria, ikijulikana kanunuliwa tu ATAPIGWA CHINI MARA MOJA.
Habari wandugu, ninauza gari
model: Toyota Spacio
Mile: 95,000km
cc: 1490
Iko katika hali nzuri, nina shida na pesa ya kulipia ada ndio sababu naiuza kwa bei ya 5.5Million.
Simu: 0686-654180
Jana mjadala ulikuwa moto kweli bungeni, Ila dondoo zifuatazo ndizo nilizifurahia:
1. Kama wananchi 17000 hawakustahili kutoa maoni na msimamo wa kuhitaji serikali tatu-Ni vipi Wajumbe 600 walioko dodoma kutunga Katiba kwa niaba ya watu mil 44???
2. Kama unasema watu waliotoa maoni walikuwa...
Naamini kuna baadhi ya mambo wakati mkijadili mnaweza kuona kabisa hayastahili kuwa-implemented kwa sasa; Mfano Serikali TATU, Mawaziri kutokuwa wabunge! Niwakumbushe ya mwaka 1992, asilimia kubwa ya Watanzania hawakutaka mfumo wa vyama vingi; lakini kwa maslahi ya taifa ililazimu uwepo. Sioni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.