1.Uhai unadanganya Sana Kuwa Makini Na Matendo Yako Muda Wowote Unaondoka...
2.Unaishi Kwa Kuwaangalia Watu Na Sio Vile Wewe Unatakiwa Kuishi Umri Ukienda Ndio Unakuja Kugundua Maisha Ni Yako Na Sio Kwaajili Ya Wengine Kwahiyo Ishi Maisha Yako...
3.Watu Wengi Hawajui Maana Ya Mafanikio...
Hongera Kwa Kuanza Biashara Na Kuona Matokeo Chanya Kwenye Hio Biashara Yako...
Umeeleza Vizuri Kabisa Namna Biashara Yako Ilivyokua Inakua Ila Kuna Jambo Haujaliweka Sawa Uwenda Ikawa Ndio Chanzo Cha Changamoto Zinazoendelea Kwasasa...
Wahenga Wanasema "Kujua Chanzo Cha Tatizo Ni Tiba Pia"...
Umenena maneno Mazuri yenye kufariji na kutupa utulivu sisi wapambanaji...
Swala La Subra Limeimizwa Sana Ata Kwenye Maandiko Ya Dini Lengo Ni Kuzuia Ile Hali Ya Kujiona Umechelewa Zaidi Kuliko Wengine...
Unaweza Watazama Wale Uliosoma Nao Darasa Moja Au Wale Uliozaliwa Nao Mwaka Mmoja Au Wale...
Kadri unavyozidi kutoa Ndivyo unavyozidi Kuongeza Kipato...
Tunashukuru Kwa Ushauri Wako Bora Kabisa MOLA AKUBARIKI KWA MANENO YAKO YENYE KUJENGA KWA WENYE KUELEWA NA KUFANYIA KAZI...🙏
NA WEWE UNAYESOMA UJUMBE HUU MWENYEZI MUNGU AKUFUNGULIE RIKIZI ILI UWE MIONGONI MWA WATOAJI NA SIO WAPOKEAJI...
Kwanza Nikupongeze Kwa Uthubutu Ulionao Katika Biashara Na Namna Ulivyofanya Utafiti Wa Biashara Yako Na Hatua Uliyoifikia Hadi Sasa...
Kutokana Na Uvivu Wa Kufikiri Tulionao Watu Wengi Basi Tumekua Na Tabia Ya Kusubiri Wengine Waanze Halafu Na Sisi Tuige Yaani Hatuwezi Kuthubutu Mpaka Tuone...
Mada Yako Ni Nzuri Sana Tena Sana Kwasababu Ili Tatizo Halipo Kwako Peke Yako Ata Wale Ambao Wapo Kwenye Kazi Muda Mrefu Nao Wanaangaika Na Hii Changamoto Ya Pesa Kutojitosheleza Na Kujikuta Wanaishia Kwenye Madeni Ya Bank,Madeni Ya Watu Wa Karibu Na Madeni Ya Watu Wa Mtaani...
"JAMBO LOLOTE...
Shukrani 🙏 Kwa elimu uliyoitoa ni Kubwa sana Tena sana...
Jamii tuliyonayo kwasasa ni yenye kupenda vitu visivyo na maana ukiandika jambo la muhimu kama hili ni Wachache sana watakao kuwa na Jicho la kuona...
Binafsi nimejifunza kitu kikubwa Sana Kupitia nakala Yako hii UBARIKIWE 🙏
Kwanza nikupongeze Kwa Subra na busara ulizonazo Kupitia maisha uliyonayo Kupitia wewe na wafanyakazi wako maana kumlipa mfanyakazi Ambaye yupo nje ya kazi mara nyingi imezoeleka sehemu za Ajira za serikalini ndio wanafanya hivyo...✍️
Ushauri wangu kwako ni kwamba...👇👇👇
👉 Point Yako Kubwa Ni...
Mambo vipi Ndugu...
Wengi tumekua wasomaji na Tumejifunza mengi Kupitia Uzi huu....
Tunaamini Kupitia Safari Yako Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwako Mimi nilikua na maswali Machache tu...
👉Umejifunza Nini Kupitia Safari Yako hii yaani ni sababu zipi zimechangia kuchelewa kama ulivyodai...
Sijawahi Kutoa Mawazo Kwenye Hii APP ila Kutokana Na Uzito Wa Huu Ujumbe Ngoja Niweke Neno...✍️
Asilimia Kubwa Tumejifunza Maisha Ya Wastaafu Kupitia Watu Wetu Wa Karibu Inaweza Kuwa Mzazi Wako Au Mzazi Wa Rafiki Yako Au Jirani Yako N.k...✍️
Mawazo Ya Wadau Ni Mazuri Ila Na Mimi Nitaorodhesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.