Maisha yamekuwa magumu siku hizi hasa kwa Dada zetu ambao wanaishi maisha ya kuwa na kazi ambazo siyo lasimi.....hata hivo siyo maisha tu kuwa magumu pia kubadilika kwa nyakati maana now days mwanaume kuoa mwanamke anaona kazi sana hivo bora awe na uchumba usio na ndoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.