:heh:Mbona unapenda sana kutoa maelezo yaso na msingi sana mapenzi hayachagui kabila, dini elimu, rangi wala kitu kingine ila 2 kiangliwacho ni mapenzi ya dhati. ukichagua sana utaangukia pabaya ndugu
:kev:
Nipo Songea ndugu yangu. But I'LL GONNA TO CONTACT YOU.
KAZIZA FIELD ZILINIBANA KIASI KWAMBA NIKASHINDWA KUKUPIGIA. ILA AS SOON AS POSSIBLE NTAKUCHECK
ASANTE
Asante nashukuru kwa ushauri wako nitatendea kazi. Lakini nilishawahi kwenda hospitali hadi za rufaa ila wakanambia nina uzazi mwingi hivyo endapo nikipata mtoto haya yote yataisha, ikanilazimu niwe mpole hadi nilipotimiza miaka 25 nikapata ujauzito na hatimaye nikafankiwa kupata mtoto wa kiume...
nina umri wa miaka 31, tatizo langu limeanza pindi tu navunja ungo nikimaanisha kwamba kwamara ya kwanza ilikuwa siku 2 nikakaa siku 14 nikapata tena kwa siku 7 na hali ikawa ni hiy mara nakaa hata miezi miwili then napata kwa siku kuni na zaidi. halafu ikafika kipindi nikawa nakaa miezi sita...
Hongera kwa majukumu na pole kwa uchovu wa wikiend.
Mie ni mwanamke wa miaka thelathini na mmjo 31). Nimevunja ungo nikiwa na umri wa miaka 16 na nikiwa kidato cha tatu. Sasa tangu nivunje ungo sina kabisa mpangilio mzuri kwani inafika wakati nakaa hata miezi sita bila kupata hedhi, na kuna...
mdada ndoa hujengwa na wawili. Kaeni pamoja mjadili kinyume na hapo ndoa inaweza kuwa chungu. Kwani huyo mdada c rafiki mwema bali nji m2 mbaya kwenu na hasa kwako
Habarini wana JF wote. Naombeni mnisaidie hili laniumiza moyo sana.
Mie ni mdada wa miaka 30. Nilishawahi kuwa na mpenzi nikampenda sana tena sana hadi ikafika wakati nikazaa naye mtoto mmoja. Kutokana na matendo na ishara npatazo kwake nimeshindwa vumilia japo ananisumbua sana inafika hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.