Recent content by Dollar hermees

  1. Dollar hermees

    Kwanini Wakristo Hukataa Ushahidi wa Mtume Muhammad ﷺ Lakini Hukubali Mambo Yasiyo na Maneno ya Yesu Mwenyewe?

    1. Utangulizi Wakristo mara nyingi hudai kwamba Mtume Muhammad ﷺ alipokutana na Jibril pangoni Hira hakuwa malaika bali shetani. Hoja yao hutokana na simulizi kwamba Mtume aliingiwa na hofu kubwa. Lakini hoja hii haiko sawa, kwa sababu hata katika Biblia na mafundisho ya Kikristo, kuna mambo...
  2. Dollar hermees

    Kama Tanzania ingeshindwa vita ya Kagera: Je, Rwanda na Uganda zingefika hapa zilipofika leo?

    Hii taarifa yako sio ya kweli kuna kitu,hakipo sawa. Fuatilia vizuri hata hivi vitabu ulivo soma yaweza kuwa ulilishwa matango pori
  3. Dollar hermees

    Je, Allah alikuwepo kabla ya kushuka Quran?

    Mada nzuri sema umeandika uwongo
  4. Dollar hermees

    Hukumu ya kesi ya ndoa inakaribia kusomwa, anataka tugawane mali wakati alinikuta nimesimama. Sitaki hilo litokee, nachanganyikiwa

    sema wanawake wa siku hizi wana tia wanaume laana sana. ukweli unajulikana siku zote. majukumu ya mke katika familia ni makubwa sana japo siwezi kulinganisha na mali. ila kitu cha msingi ni kimoja tu. Huyo mke alitoa mchango gani wa maendeleo yako? maana mchango mwengine hauwezi pimwa kwa macho...
  5. Dollar hermees

    Hukumu ya kesi ya ndoa inakaribia kusomwa, anataka tugawane mali wakati alinikuta nimesimama. Sitaki hilo litokee, nachanganyikiwa

    ulifunga ndoa gani? ki serikali au kanisani au msikitini? umezaa naye watoto wangap? nani amefile divorce?
  6. Dollar hermees

    Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

    Dah maskini umeongea maneno mengi yasiyo na ushahidi sasa nitakuwa nawajibu kwa kupiga maswali. Aliye kudanganya uislam umeletwa na Mohammad SAW nani? Unajua maana ya neno uislam? Kuhusu kabla ya kuzaliwa mtume Mohammad SAW waarabu walikuwa wana abudu miungu au masanamu hujakosea. Kwani nani...
  7. Dollar hermees

    Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

    unasema sababu za kijinga alafu huna hoja hata moja ya kutetea. hayo yote nilio andika yana ushahidi na yapo kwenye kitabu chenu. Ni vema kama utanipinga basi na utoe andiko lakini unacho kazani ni kusema hoja za kijinga. haya hoja zenye ukweli ni zipi. bisha na hoja. kama huna hoja tulia
  8. Dollar hermees

    Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

    Sasa wewe niku ulize swali jepesi sana. unajua maana ya kumslimisha mtu? Yesu ana fuata imani za mababu zake ambao wao walikuwa waislam. Hakubatizwa wala kubatiza mtu yeyote. Je unadhani muislam gani amebatizwa au kubatiza mtu? kuhusu Petro sijui ila ukweli ni kwamba kasome kuhusu uislam ujue...
  9. Dollar hermees

    Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

    UISLAM, sababu zifuatazo. Yesu hakula nguruwe alifunga na kusali kama waislam alisali kwa kumuoba Mungu wake tu akikosea alitubu kwa kumuomba Mungu wake msamaha hakubatizwa hakuchora tatoo wala kutoboa masikio wala pua haku abudu masanamu alivaa kanzu
  10. Dollar hermees

    Wajua msikiti wa Al aqsa Jerusalem ulijengwa likiwa ni kanisa la Byzantine (Byzantine church)?

    Naomba nikujibu vizuri maelezo yako. Unajua uislam ni historia ya mitume pia. Hii kitu inafuata lineage ya damu. Hawa watu wanaopigana huko Israel na Palestina wana uhusiano wa kindugu lakini kilicho fanyika ni siasa ya uhuni. Kwanini hutaki kuamini kwamba uislam hauja letwa na mtume Mohammad...
  11. Dollar hermees

    Binti niliyebahatika kuzaa na kuishi nae nimejikuta simpendi tena

    Kama unataka laana na upotee fanya ujinga uone Binti wa watu amekuzalia mtoto Anaishi na wewe huja muoa Umeharibu usichana wake waziwa yasha shuka chini majukumu ya mtoto umemuachia. Leo hii una taka kumuacha. Angekuwa dada yako anafanyiwa hivi ungefurahi?
Back
Top Bottom