Gari la Polisi kujaza mafuta katika makampuni binafsi sio ishu, ishu ni utekelezaji wa majukumu yake hii ni kwasababu hata jeshi la wananchi nalo pia linajaza mafuta katika kampuni binafsi.
Nakuunga mkono KATI2 hii ni kwasababu kwanini chanzo sijakiona au chanzo ni mwananchi ndie aliepewa haki miliki ya kutangaza upoteaji huo peke yake bila ya msemaji wa jeshi la polisi na kwenye magazeti mengine sijaona.
Jee kunauhakika gani wa jambo hili? kama kweli umeibiwa msemaji atueleze la...
Kwanini chanzo sijakiona au chanzo ni mwananchi ndie aliepewa haki miliki ya kutangaza upoteaji huo peke yake bila ya msemaji wa jeshi la polisi na kwenye magazeti mengine sijaona.
Jee kunauhakika gani wa jambo hili? kama kweli umeibiwa msemaji atueleze la sivyo mwandishi atwambie chanzo...
Nakuunga mkono KATI2 hii ni kwasababu kwanini chanzo sijakiona au chanzo ni mwananchi ndie aliepewa haki miliki ya kutangaza upoteaji huo peke yake bila ya msemaji wa jeshi la polisi na kwenye magazeti mengine sijaona.
Jee kunauhakika gani wa jambo hili? kama kweli umeibiwa msemaji atueleze la...
WAJIBU WANGU RAIA
Kuwa raia Muungwana(Responsible citizen) kwa kutekeleza wajibu wako na kudai haki zako ukifuata sheria na taratibu zilizowekwa, mamlaka husika serikalini itakusikiliza. Lakini unapovunja taratibu angalia kulia na kushoto polisi wapo kwa nia ya kuhakikisha amani na utulivu...
WAJIBU WANGU RAIA
Kuwa raia Muungwana(Responsible citizen) kwa kutekeleza wajibu wako na kudai haki zako ukifuata sheria na taratibu zilizowekwa, mamlaka husika serikalini itakusikiliza. Lakini unapovunja taratibu angalia kulia na kushoto polisi wapo kwa nia ya kuhakikisha amani na...
Kama ushahidi upo kwanini kesi isahauliwe, hata kama wao watafungwa atasimamia mtu mwengine ili haki itendeke na sifikirii vyombo vya habari vitakaa kimya kwasababu ya kukamatwa kwa baadhi ya viongozi.
DVR Ni kifaa kichotuma kurikodi kupitia kamera, Hakuna DVR yenye angle 360 bali kamera ndizo zenye angle.
Napongeza kwa ushahidi mlionao kama mtaupeleka kwa polisi au mahkama ya kimataifa basi na sisi tuwekeeni kwenye mtandao ili tuuone uo unyama tunaoambiwa unafanywa na polisi ili tuamini na...
Unaonekana hukunisoma vizuri, niliandika aipeleke polisi au apeleke popote anapohisi panafaa mfano ICC au kwenye umoja wa mataifa, uwe mtu mzuri wa kumsoma mtu haraka.
Hongera kwa kuboresha jinsi ya kurikodi lakini Kwanini wasiwasilishe vielelezo kwa polisi au sehemu ambayo haki tunahisi itatendeka ili wachukuliwe hatua watuhumiwa kuliko kulaumu jeshi la polisi kwamba wao ndio waliofanya uhalifu huo. Hii itasaidia kujua zaidi kwamba hao watu wametumwa au wana...
Kuwa raia Muungwana(Responsible citizen) kwa kutekeleza wajibu wako na kudai haki zako ukifuata sheria na taratibu zilizowekwa, mamlaka husika serikalini itakusikiliza. Lakini unapovunja taratibu kulia na kushoto, angalia! polisi wapo kwa nia ya kuhakikisha amani na utulivu kwa manufaa ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.