Na ashukuriwe Mungu muumba mbingu na nchi, Ndg. zangu wana JF, Asalamualeykhum.
Tuna kila sababu ya kumshukuru Mungu, kwa rehema zake na wema wake hata tumeweza kuiona siku ya leo. Ndugu zangu, sote tunajua jinsi mchakato wa uchaguzi unavyokuwa mgumu. Siyo kwa wagombea tu, bali hata kwa...
Hata tukiutumia mtazamo huu, bado tume imejiweka pabaya. Watanzania hawana muda wa kusoma maelezo na vifungu kama ulivyofafanua. Ni kwa kutumia mwanya huo TL anaonekana bingwa kwasababu alifafanua kifungu kwa kifungu na wananchi wakamwelewa. Ili kujibu hoja hizi na kueleweka kwa umma Tume...
Salaam.
Labda mimi sielewi bado dhana ya wagombea kupita bila kupingwa. Mpaka sasa sijasikia mpinzani aliyepitishwa na tume bila kupingwa. Hii ndio kusema faults zinafanywa na upinzani tu ktk ujazaji wa form hadi kurudisha?
Naomba kueleweshwa.
Asante.
Umenena vema sana. Na ili kuthibitisha hili namuomba mh. Rais ajiulize tu; kama kweli viongozi anaowateua na kuwaamini wanampa taarifa sahihi mbona kila akipita humo mikoani wananchi wanalia shida na kero ambazo zilipaswa kutatuliwa na mawaziri wake, wakuu wa mikoa au wakuu wa wilaya?? Ina maana...
Mtoa mada nakushukuru kwa uzi sahihi wakati sahihi. TL atumie taswira ya wajumbe hasa wa CCM ndipo atapata picha kamili ya wahamasishaji wa wapiga kura ktk ngazi za wananchi wa kawaida. Ni hivi: mambo anayojaribu kuyafafanua mh. Lisu ni ya msingi na ukweli mtupu. Lakini si mepesi kueleweka kwa...
Kuna homa imeingia kwa wanasiasa, maana haya makelele yote yanasikika kutoka kwa wanasiasa.
Sijui ni: hofu ya majina yao kukatwa wakati wa kura za maoni?
- Au hofu ya kukosa teuzi za madaraka pindi wakichaguliwa??
Hii inamaanisha mambo yafuatayo:
1. CCM imeshindwa kuwatengeneza viongozi wapya ktk kipindi chote cha utawala wao kama wanavyokuwa wakijigamba; maana hata huyu wanayemsifia anasema alikuwa ana 'beep' tu, kwa maneno mengine hakuandaliwa wala siyo zao la mfumo wa chama.
2. Kati ya wanachama zaidi...
Tusidanganyane, kwa wanahistoria wanafahamu kuwa Neo Colonialism ni mfumo halisi ulioratibiwa kimkakati ili nchi za Africa ziendelee kutawaliwa. Uhuru wa bendera uliotolewa ulikuwa ni wa makusudi kabisa, lakini uchumi na masuala mengine uhuru huo HATUNA! Na hakuna mnanja wa kujitoa kwenye mfumo...
Kwa sasa tunajua kuwa Dunia nzima tunapita katika mtihani mkubwa wa ugonjwa wa COVID_19. Kila nchi inahangaika kutafuta majibu ya changamoto hii.
Mashirika ya kiserikali na asasi za kiraia zinajitahidi katika kutoa maelekezo na kupendekeza mbinu mbali mbali za kujikinga. Nchini kwetu kama...
1. Raia wa Libya hawakuwa wanauawa na kupotea kusikojulikana
2. Raia wa Libya hawakutekwa na kupigwa risasi bila ya watuhumiwa kukamatwa na kuchukuliwa hatua kali.
3. Libya ilikuwa haionei raia wake
4. Libya wafanyakazi walilindwa na kupata heshima bila kudhalilishwa wala kunyanyaswa.
5. Libya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.