Kwa hiyo hii ndio mbinu mnatumia kutangaza kitabu hicho?
Siku zote kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza. Hayati Magufuli atabaki kipenzi cha wazalendo na watanzania wote.
Nyie wapinzani badala ya kujenga hoja na kukua kisiasa kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao mmebaki kugombana na marehemu...
Siasa uchwara hizi. Mleta mada nani kakuambia Mbowe hataki kustaafu? Katiba ya chama inasemaje kuhusu ukomo wa madaraka? Je, hakuna uchaguzi?
Kwa kweli mimi nitasimama na Mbowe katika siasa za CHADEMA. Katiba inamruhusu na haki anayo. Kama wanachama wamemchoka wamuangushe ktk sanduku la kura...
Hahaahaaaa! Legend atabaki legend tu. Wabaya wanajaribu kuzika legancy kila siku lakini wapi!
Legend hakuwahi kushindwa.... Miaka 20 anashinda ubunge, mara mbili anashinda uraisi, kafa anawashinda wafitini. Hadi leo mnajaribu kuua jina lake lakini hata jina linawashinda.
Hovyo kabisa
Erick Kabendera ndio reference yako? mawazo yake ni yake, kama unamwamini ni wewe usitake nasisi tuamini. Hata wewe ungeweza kuandika kitabu kama yeye tu.
Sio issue hiyo. Unaweza kunitajia waziri mweusi huko Ujerumani, uswis, Denmark, Hungary, urusi, Japan, Argentina, nk? Usiangalie China na uarabuni tu ukakengeuka.
Marekani watu weusi waliingia kitambo sana, tena wazungu si asili yao huko. Ufaransa walikuwa ba policy yao inaitwa assimilation...
Vp ulikuwa hausegirl wa mwenyekiti nini?
Alianza kushinda ubunge, akashinda uraisi wa nchi na sasa anaendelea kuwashinda wanaopambana na maiti. Hakika huyu ni ASIYESHINDWA..
Ingependeza ungetaja na majina kabisa ili kunogesha. Siku hizi hakuna mwanahabari aliyesomea taaluma hiyo umkute anaropoka au kuleta mzaha redioni au kwenye TV. Wamejaa makanjanja tu zero brain. Fikiria eti zembwela nae mtangazaji!
Ndio maana redio na TV nyingi matangazo yao sasa hivi ni...
Ulikuwa hulijui hilo?
Hao unaowadharau wengine wana kipato na maisha ya juu zaidi yako. Ukizingatia umalaya ulikuwepo kitambo, umeukuta na utauacha.
Zingatia hili katika maisha yako: WEWE HUTAWEZA KUBEBA HATA NUSU YA WANAYOYAPITIA..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.