Recent content by dog 1

  1. dog 1

    Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

    Huu uzi full mipasho kama tuko tamasha la Taarabu.
  2. dog 1

    Al-Jazeera ni TV ya ovyo, kwenye vita ya Israel vs Hamas hawasemi athari zinazotokea upande wa Hamas

    Kuingia kwenye mashimo yaliyotekwa mabomu ndo ukomando wenyewe. Unataka makomandoo wa Israel wafanye kampeni zao majumbani waliko watoto na kinamama wasio na silaha wala hatia?
  3. dog 1

    Prison Break kurejea kivingine

    Prison Break kurudi bila Michael Scofield na Lincoln Burrows. Kulingana na Radio Times, sio Dominic Purcell wala Wentworth Miller wanaotarajiwa kurejea. Mfululizo huu unaripotiwa kuandikwa na kutayarishwa na Elgin James wa Mayans MC, huku mtayarishaji wa Prison Break Paul Scheuring akifanya...
  4. dog 1

    Wenye akili sana maisha huishia njiani

    Poa tu. Nyie vilaza chekeleeni lakini wote tutakufa na kufukiwa Acha nileweeeee Hapa nina furaha na nipenda kujistarehesha mwenyewe, uwepo wangu ni lengo tosha. Dhumuni langu ni kutokuwa na dhumuni. Unaweza ukapanga upendavyo, lakini huwezi kunishawishi kuwa mambo yatakuwa mazuri zaidi ya...
  5. dog 1

    Rais Samia: Mimba za utotoni zimeongezeka Dar

    Haya ni matokeo ya sera mbovu ya kuruhusu waliopata mimba wasome shule za serikali. Sasa mimba si tishio tena, na bado. Nendeni hospitali bubu mkashuhudie mabinti wanavyochoropoa mimba.
  6. dog 1

    Natambulisha track yangu mpya kwa Wana JF

    Jamaa yetu kapotelea wapi? Au tayari kashasepa zake USA?
  7. dog 1

    AFCON: Tanzania kumenyana na Morocco, DR Congo na Zambia kundi F

    Mkia unatuhusu. Hata pointi moja hatupati mama yangu balaa
  8. dog 1

    Tuwacheni masikhara, ukulima tulio nao bado ni cha mtoto

    Haaaa! Pakacha la mahindi tu? Lakini kupita uwanja wa ndege na kobe au twiga ruksa...
  9. dog 1

    Papa Francis: Hisani ya Kichungaji itumike wapenzi wa jinsia moja wanapowaomba mapadri baraka

    Wala hajapendekeza. Fuatilieni habari kwa undani na upana wake. Kasema, tena karudia kauli yake ya awali kuwa tusiwatenge wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Tena ikiwezekana tuwape baraka maana ni wakosaji. Maana yake ni kuwa mwenye dhambi asitengwe na apewe ushirikiano ktk harakati za...
  10. dog 1

    UZUSHI Msimbo (Code) wa rangi kwenye kasha la dawa za Meno huonesha aina za kemikali zilizotumika kutengeneza dawa hiyo

    Black= all chemicals Red= Blue= chemical & medicine Green= all medicine
  11. dog 1

    Ratiba inaendelea: Waraka wa TEC unasomwa leo kwa mara ya tatu

    Hoja hujibiwa kwa hoja. Hapa unapinga tu hoja huna
  12. dog 1

    Kuna siri gani Rais kujaza wanasheria kwenye Baraza la Mawaziri?

    Mchengelwa japo alishawahi kuwa katibu wa Jaji kiongizi lakini kichwani hamna kitu. Alishawahi kupewa mafaili Aandae hukumu akaandika Madudu tu. Bora alivyoingia siasani tu akafie huko
  13. dog 1

    TANESCO kuzima Umeme siku 2 kwa saa 12 (Agosti 26 -28 2023), Mikoa 15 gizani

    Si kuna control stations? Hivi unajua TANESCO wanaweza kuzima umeme nchi nzima wakauachia ktk wilaya moja tu hapa Tanzania? Grid ya taifa inaweza kuwa on na wakafanya matengenezo au kuhamisha watakavyo. Tuache longolongo.
Back
Top Bottom