Yaani kama kuna office za ajabu basi ni office ya mashitaka, pccb na either rco or oc cid. Hapa bukoba uchafu huu upo office ya pccb na mashitaka. Muda wowote tutaleta hapa ushahidi wa rushwa inavyoliwa hapa bukoba kwenye office ya mashitaka na pccb. Kuna kesi moja tunasubiri tupate copy ya...
DG hamduni saidia kufyeka ofisi yako hapa bukoba, huyu John Joseph kazi yake ni rushwa akishirikiana na wafanyakazi waliotajwa. Tunaamua wakati mwingine kuwataja huku kwani tukikutumia email hamjibu
Nimewataja makusudi kwani vitendo vyao vimezidi. Dg PCCB kupitia email yenu ya dgeneral@pccb.go.tz check kuna emails kibao zinazohusu watu wako hawa, tuko tayari kwa ushahidi kwani suala la wewe kutuambia zikufieje basi. Tuko tayari kwa lolote.
Wanajf naomba radhi kwa kuchelewa kujibu hoja zinazohusu post yangu kwani nilikuwa mgonjwa wa kitandani kwa wiki mbili nikiwa hoi. Kiufupi ni kwamba maofisa hawa wako hapa bukoba mjini kwenye ofisi ya pccb mkoa ambao ni KILASA MALULU, TRYPHONE MAGOGWA, MBAGA, KAPERA na mtu mmoja hivi ana kovu...
Kamanda heshima yako,
Napenda kukufahamisha kuwa tumekutumia email ya malalamiko dhidi ya maofisa wako wanajihusisha na vitendo vya rushwa. Email hii tuliyokutumia tumetumia dgeneral@pccb.go.tz. Tumeona tukutumie ujumbe kupitia jf hapa kwani tunaamini wewe unapitia hapa lakini pia uenda hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.