Recent content by Dodo86

  1. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Fundi wa kukarabati nyumba ya zamani iwe ya kisasa

    Habari. Nina nyumba ina vyumba vitatu vta kulala, dining, siting room na public toilet. Nahitaji fundi anayeweza Kuikarabati iwe ya kisasa kidogo maana lengo langu ni kupata master na jiko moja upande mwingine anitengenezee master jiko na sebule kama itawezekana. Ahsante. Eneo liko Dar es...
  2. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Spinning bike inauzwa

    Brand FITALITY Bei 380,000 New Mawasiliano 0712 220 207 Location Sinza Mori
  3. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Uwekeze au ujenge Nyumba ya kupangisha?

    Mkoa gani? Kwa Dar 50m huwezi jenga self 10?
  4. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Kujenga Apartments

    Mimi nina kiwanja kina m² 405 mbezi beach natafuta funds mtoa mada ana funds mwenzangu ana funds anatafuta eneo
  5. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Ushauri na msaada

    Hii naogopa sana maan unajikuta wanachukua nyumba yako japo rent za kule chumba jiko sebule na choo tu si chini ya 400,000 ukiipaweka vizuri nikiwa nazo japo nne si haba
  6. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Ushauri na msaada

    Au niwe nanunua vifaa vya ujenzi kidogo kidogo kama tofali naweka hivyo mpaka nAmaliza niongee na fundi anipe total estimate za tofali, nondo sijui mchanga halafu nikipata hela nanunua kidogo kidogo si pia inawezekana?
  7. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Ushauri na msaada

    Risk ya kukopa ndio ndio naogopa nisinge nikaipoteza nyumba yangu labda kuna mtu mwenye uzoefu wa kukopa sababu ya ujenzi wa apartement za kupangisha?
  8. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Ushauri na msaada

    Habari wana JF. niende straight kwenye mada. Nina kiwanja kina ukubwa wa sqmtr 405 maeneo ya mbezi beach goig upande wa juu. Ndani ya kiwanja kuna nyumba la zamani au niseme ni gofu sasa nilikua nataka kupaendeleza na pesa hiyo sina nafikiria niingie bank sababu ni sehemu ukipafanyia planning...
  9. Dodo86

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Hii video kila nikiisikiliza natetemeka
  10. Dodo86

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Ukithubutu kuhoji unaambia unakufuru Thank god for technology and the Internet tulikua gizani sana wallahy sasa hivi hamna siri tena kila kitu kiko wazi
  11. Dodo86

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Tafuteni hii on YouTube ambayo ilizua mjadala "The Standars Narrative has holes in it" ilikua interview kati ya Sheikh Yasssir Qadhi na Muhammad Hijab hii interview ilivyofanyika yaani it caused an uproar na hii ikafanya ongezeko la apostate ndani ya Uislam
  12. Dodo86

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    It was edted na Othman bro soma vizuri mbona hii issue ilishazua mjadala mkubwa duniani na mpaka Imams and Scholars wa kiislam wakawa kwenye Taharuki
  13. Dodo86

    JamiiForums Tanzania He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    This is true kitabu cha Quran kilikua compiled hundreds of years ago baada ya kufa Muhammad mimi nilishania hakiwahi kuguswa
  14. Dodo86

    JamiiForums Tanzania Anahitajika mwalimu wa kindergaten

    Anahitajika mwalimu wa kindergarten na Daycare kwa mawasiliano zaidi 0749928289
Back
Top Bottom