Haitakiwi kuwaambia. Kwani hawajitambui??? Alivowaacha solemba hadi na aliyemwita na kuwaachia na bili yake, ndo kafanya poa. Kwa dhana ya haki sawa nao wajipime kama wanaweza kutubeba sisi. MKUKI KWA NGURUWE****-KWA BINADAMU ni nomma!
jean phillipe beyun
hahahaha ha haaaa! Umenifurahisha na hyo escape from sobibo. Usiwapgope hawa bidada***-uwe jasiri***-ivo ivo kama ulivo-escape....na cku ingne akijitokeza mwingne muachie manyoya. UNENITAMANISHA SANA!
Yote tisa mkuu@Joel. Unayotaka/kupenda wew, wengne wengi hawayapendi/wapo kinyume na wew. Na wanayotaka/kupenda kina-Lara 1, nyie kina Joel mko kinyume chake. Lakn wote ni jamii moja. Tofauti zetu kofikra na kichocheo cha mabadiliko/maendeleo/chachu ya ulimwengu. Tafuta suluhu***-kuishi ni chuki...
ha ha ha haaaa! Acheka mim. Mpaka ataka mma! Kumbe huwa unakuwa standby eeh! IKO CKU ISIYO NA JINA UTAUVAGAA MZINGA WA NYUKI. Mi ctak kuwa shahidi. Lakn najua za mwiz ni 40. Na ndege mjanja****-hunasa kwenye tobo bovu mwajei wa Ukweeeli.
Me naona Amii yuko poa tu.Coz anawahutumia wateja wahitaji. Bila kina Amii, hawa wanawaje/wadada wapenda hb watakwenda kukodi hb za kijaluo Kenya kam Wamama wa ki-Rombo. Kina Amii fanyeni mamboz. Na vile ni wachumi,***-mnanifurahisha sana.
Hawapotoshi mkuu@Amanijua. Lara 1, anawahabarisha yaliyomo yamo. Akili ni nywele**--kila mtu ana zake. Lara moko kawapa mbivu na mbichi***-kuamua ni kipenda roho. Pita njia uipendayo baada ya kupata ABC yake*
ha ha ha ha ha! Achekesha mm weye. Wewe mkuu luckyline ungekuwa ni she wake huyo jamaa na wote weny kufkiri hivyo***--angelazwa mahututi muhimbili aysee! Me napenda dem mwenye changamoto...maana nafurahia kuzipanchi.
Akitaka haki sawa kwa mpango wa sheria....kwamba hataki kuwa mtiifu kwako, mpe haki yake akaishi peke yake. Sio lazma umuoe huyo anayetaka pasu kwa pasu, mbona hatua zote mpaka unamleta kwako hamjafanya pasu kwa pasu??? Mchukue wa level ya chini....utapenda na kufurahia maisha. Vyovyote...
Kama ni hivyo..., mrudishe zizini huyo ni mwana mpotevu***-ila ni kama bado unamhitaji. Uwezo wa kufanya hivyo unao. La, kama na wew umemchokaaa, muache aende zake***-hutajilaumu. Barabara ni pana, twaweza kupishana tu...maadamu tu-wahitaji.
Mwanamke kukuzidi ki-elimu ama ki-mapato kusikufanye uwe bwe×ge na na kuamini kuwa umekuwa dhaifu kwake.
Mwana-ume ni jina lenye sifa kuu. Hivyo kiumbe wa kiume unatakiwa kuishi ki-shujaa kam Mungu mwenye nguvu. Umepewa uwezo wa kuvitawala vyote uvionavyo kwa macho na akili yako. Kama wanaume...
Ok, vema. Lakn cna ugomvi nanyi, kusoma ni kuelewa. Smart boy yeyote hu-keep time...na mambo yake ni acording to his plan. Wapo smart boy-shalo shalo, wametega nyavu kam ulivotega nyavu zako wew, utakapogundua kosa lako...tayari umeckia harufu ya uvundo. Swala ni usalama wako..ndo iwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.