..moja usifanye maamuzi ukiwa Na hasira..pili usimuache ikiwa unahisi moyo wako bado unamuhitaji Na tatu kaeni chini Na huyo mpnz umwambie nini kinakusumbua Na ukishamckia bac fanya maamuzi.
Vichakani ni maeneo hatarishi sana..kuna jamaa anafanya shughuli za mazao ko alikuwa porini huko..cku kabanwa na kubwa bac aende kujisaidia ..sasa ile kavua nguo kachuchumaa anasema alitokea nyoka aina ya kifutu alimfukuza ..jamaa anasema nyoka alikuwa na speed hatari kilichomsaidia akafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.